cheeter
JF-Expert Member
- Apr 19, 2011
- 475
- 155
- Thread starter
- #121
Kijana wa miaka 36 halaf huna akili kiasi hicho? Ni akili hizo hizo ndogo ndio zimekufanya ukaishindwa ndoa na bila aibu tena unataka kuvunja ndoa ya mtu asiyekuwa na hatia eti kwa kisingizio mke wa mtu anakupenda na wewe unampenda.
Baada ya kufanikiwa kuvunja hiyo ndoa ya mwenzako utapata adhabu hutaisahau mpaka unaingia kaburini, malipo ni hapa hapa. Na kama utazinduka kiakili kimbia hiyo kitu tafuta wanawake waliokwisha achika tena sio kwasababu yako.
naomba uelewe mm sijavunja ndoa ya watu.na matatzo walionayo kwenye ndoa yao na mmewe mm hayaniusu.mm nampa faraja ya kutosha.na nipo upande wake na si vinginevyo