Mke wa mtu aning’ang’ania

Mke wa mtu aning’ang’ania

naomba ushauri .Tumependana na huyu dada mno.siwezi kumuacha
Kubali kuolewa na huyo mwanamume uwe mke wapili
1424936372548.jpg
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
Mshitaki kwa mumewe
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
umevunja yako unataka kuvunja na za wengine ?
 
Mnaelewana kwa kuwa yupo nje, akiingia ndani atakuwa sawa na wa mwanzo.

Mwache atunze familia yake.
 
We sema anakung'ang'ania tu...... Siku mumewe akijua umekwisha badala ya gunia mbili za mkaa kwako zitawekwa tano hata meno hayatobakia
 
We nadhani wanawake hujawajua Vema.. Kama naweza kukupa papuchi na yuko na mumewe..
Atashindwa nini kampatia papuchi mwingne ukiwa Nae?
Lakini pia kama anaweza kumwacha mumewe Atashindwa nn kukuachaa?
Huyo ni mlaya kama; Malaya wengine.. Tofauti kajificha kwenye kichaka kinachoitwa Mume.
Nawasilisha.

I co-sign 💯%.
 
We sema anakung'ang'ania tu...... Siku mumewe akijua umekwisha badala ya gunia mbili za mkaa kwako zitawekwa tano hata meno hayatobakia

nishamtambulisha kwao na yeye kashanitambulisha ukweeni.kilichobaki ni mapinduzi tu kwa mume wake.Koloni nishalitawala
 
naomba ushauri .Tumependana na huyu dada mno.siwezi kumuacha
Kama ataweza kumwacha mume wake na aje kwako basi na wewe jiandae kuachwa ts only the matter of time..
Pia kama ulivyomwacha mke wako basi nayeye ajiandae ts only the matter of time. Kwa mazingia mliyopitia hakuna atakaye chukulia serious mahusiano yenu..

Just be a bigger man urudiane na mkeo kama unataka furaha ya muda mrefu.
 
nishamtambulisha kwao na yeye kashanitambulisha ukweeni.kilichobaki ni mapinduzi tu kwa mume wake.Koloni nishalitawala
Wewe unautani unachukulia hilo jambo kiwepesi unaweza kufa hujui huyo mumewe atalipokeaje hilo jambo na atapanga kukufanyia nini ni hatari mkuu.
 
Fanya hivi...mpe mimba huyo mke wa mtu ndiyo short cut pekee ya kufikia lengo lako....humu watu wengi wanakuponda ni wanafiki tu hawana lolote

Asante kwa ushauri wako mzuri.
 
Back
Top Bottom