mke wa mtu ani pm

mke wa mtu ani pm

daaaah hiyo out tutaongea nini tena Slave
mimi najua kupenda tu
tatizo sijafanikiwa kupata mtu anayetaka kupendwa
nakutana na matapeli wa mapenzi kama Mr Rocky
Mamndenyi nitafute leo nikutoe out, huko tutaenda zungumzia juu ya kutemwa temwa,sijawahi sikia hata siku moja kuwa na wewe umetema pipo.
 
Last edited by a moderator:
daaaah hiyo out tutaongea nini tena Slave
mimi najua kupenda tu
tatizo sijafanikiwa kupata mtu anayetaka kupendwa
nakutana na matapeli wa mapenzi kama Mr Rocky

ndio maana nasema nikutoe,kila kitu kina siri zake,serikali ina zake na hata ndoa zina siri zake. Jiulize kwanini Evelyn Salt amedum kwangu? Chezea meat ya wani wiki
 
Last edited by a moderator:
si ulikwisha kunitoa toka huko juu
baada ya mimi kuachwa au kupigwa kibuti na Mr Rocky?

ndio maana nasema nikutoe,kila kitu kina siri zake,serikali ina zake na hata ndoa zina siri zake. Jiulize kwanini Evelyn Salt amedum kwangu? Chezea meat ya wani wiki
 
Last edited by a moderator:
AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA....( Mithali 6: 32-33)
Wanaume wengi hawana akili kabisa najua hata hapa wanasoma hii coment lakini hawaelewi....hii ndo sababu ya msingi.
( kwa wasomaji wa bibilia wanaujua sana huu mstari... sijui kama msaafu na wenyewe una hii reference)

Kwahiyo mwenye akili ni aziniye na mbwa au mbuzi? Au je ni yule aziniye na kinyeo cha mwanaume mwenzie?

Mi nakasirikaga mimi.....

Hebu niitieni Kongosho, King'asti na Kaunga. Nimewamisi mpaka najisikia haja ndogo ya kikubwa.
 
Last edited by a moderator:
si ulikwisha kunitoa toka huko juu
baada ya mimi kuachwa au kupigwa kibuti na Mr Rocky?

hivi hufaham thamani ya miti shamba eee? Embu kuja sasa uone Mr Rocky atakavyo haha nitalifanya jina lako liwe katika ncha yake ya ulimi.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha, siku hizi wanazini na mapapai

Si ndio maana unaona bishara ya mapapai imeshamiri ile njia ya ubalozi wa merekani?

Kwahiyo mwenye akili ni aziniye na mbwa au mbuzi? Au je ni yule aziniye na kinyeo cha mwanaume mwenzie?

Mi nakasirikaga mimi.....

Hebu niitieni Kongosho, King'asti na Kaunga. Nimewamisi mpaka najisikia haja ndogo ya kikubwa.
 
Back
Top Bottom