Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,554
- 11,485
yaani we slave hilo ni la kuuliza, we mwenyewe huoni?
Wowowo tu
yaani we slave hilo ni la kuuliza, we mwenyewe huoni?
Wowowo tu
mazza punguza ngija sema tu mdingi Bishanga nae challa wangu. tofaut na hapo ungechagua bega
labda cha Bishanga
shost punguza wivu basi!!
chagua mke mwenzio awe Lady doctor!!
ha ha ga aanze kwanza Slave kuchagua mme mwenza!!!!!!!
shost punguza wivu basi!!
chagua mke mwenzio awe Lady doctor!!
hivi unakubali kabisa slave awe shemejiyo!?
hivi unakubali kabisa slave awe shemejiyo!?
sikia mamito Lady doctor ndugu yako ananijua vyema kuanzia tabia,matumizi na hata kuweka heshima bar Passion Lady hawezi kukutumbukiza katika mikono isiyo salama.
kwa nini nimkatae shemeji
tatizo my wife wake mkubwa mtata!!
hivi unakubali kabisa slave awe shemejiyo!?
sikia mamito Lady doctor ndugu yako ananijua vyema kuanzia tabia,matumizi na hata kuweka heshima bar Passion Lady hawezi kukutumbukiza katika mikono isiyo salama.
kwa nini nimkatae shemeji
tatizo my wife wake mkubwa mtata!!
mwenzangu jiengue taratibunawe umeonaeeeh! Huyu bidada mtata kama nini... Hapa nilipo nipo na slave tukijipa raha taratibu ila mawazo yote yapo kwa Evelyn salt nahisi atampiga mumewe mpaka basi akirudi home
ngoja nikakuvutie bangi halafu narudi
unaenda kuvuta wewe afu stimu nipate mimi ee? Afu wewe sema tu nawaheshim wake zangu Lady doctor na Evelyn Salt