mke wa mtu ani pm

mke wa mtu ani pm

saudari niaje unaingilia ndoa za watu?

tuna tatizo la kiufundi muda si mrefu tutakuwa hewani tena mafundi wapo kazini kuhakikisha muingiliano hautokei tena.
 
Last edited by a moderator:
Popo's leo wamelala...? Nimebaki mie li-POPO KUBWA
 
Naona manoah kakuharibu sana kijana...naona sasa unataka kuparamia nyuchi za mama zako humu khaaa!!!
 
Last edited by a moderator:
Najiuliza wake za watu wananini kipya? Maana mfano nimeuona kwangu Evelyn Salt kila siku ma vx ya wabunge yanapishana kwangu huku wakijua ni mke wa mtu,pia nilikuwa naona ma hammer kwa Mamnidenyi kabla hajatengana na Vin Diesel haya tukija kwa yule mkaguzi wa jinsia mzee Asprin nae alipenda sana kukagua wake za watu tofauti na wale single girls, why how tena kuna huyu mzee Bishanga nae hajambo kwa kufukuzia wake za watu,tena kuna mke wa mwenyekiti Baba V anaitwa Mama v kama sikosei nae alikuwa mzima tu kwa kumtoroka mumewe [samahani mwenyekiti] sasa basi kama unajijua wewe ni mke wa mtu naomba tuwasiliane via PM.Japo wake wa watu ni sumu,naamini mtanifaa hata kwa kuulia panya.

hivi umeshajua kwanini mnaibiwa wake zenu? Kama hujiwezi na hujimudu pande zote kamwe hutopata mke wa mtu... Utaishiwa kugegedewa tu...!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom