Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Unaniudhii we kaka!! Ulivyokuwa unashughulika kwa kukata mauno hukuyaona hayo? Jitahidi sana mimba isitolewe utapata Lana.Muhimu mwambie Huyo Dada aanze kumpelemba Huyo Baba kwa maneno laini Ili alale naye.Ni bora Mtoto azaliwe ( hana kosa) kuliko kutoka.This is the last option If I have to give.
Mkuu tatizo huyu dada yupo kwa mumewe na mumewe hajampa haki yake ana muda hivi.

Sasa tunaachaje azaliwe huyo mtoto aisee...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutoa ni hatari sana wala sikushauri mtu mzima kufanya jambo hilo. Inabidi tu mpambane na hali yenu baada ya matokeo. Kama mume hakumpa haki muda mrefu basi asimlaumu sana huyo dada kwa kuchepuka maana hata yeye atakuwa anatimiza haja zake kwingine. Amueleze mumewe ukweli na wewe usimtelekeze endapo ataachika.
Zaeni mlee mtoto wenu kwa mapenzi. Huwezi jua mmoja wenu au wote mnaweza msijaliwe tena kupata mtoto mbeleni.
Umemshauri vizuri kabisa
 
Hajamegwa muda na mumewe itakuaje mtoto wa mumewe mkuu...?
Unajuaje kama kweli hamegwi na mume wake? Maneno ya kuambiwa sio ya kuamini 100%. Mambo yapo hivi:-
Kutoa mimba ni dhambi na sio hivyo tu, huyo mwanamke anaweza kupata madhara kiafya.

Kumbambikia mume wake pia sio issue ķwa sababu siku akigundua anaweza kumzuru huyo mwanamke pamoja na mtoto.

Swala la msingi hapo inabidi huyo mwanamke aondoke hapo kwa sababu, sababu za kuondoka tayari anazo kama ulivyo ainisha kwenye mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumpa mumewe haiwezekani kwa sababu hawana mahusiano na anavyodai wamekwazana muda kidogo jamaa hajala mzigo sasa hawezi kumwambia ana mimba yake mkuu.

Hilo la kumruka nafikiri ndio linaloenda kufanyika kwa sababu hakuna namna kiongozi wangu.
ukimruka anakuroga
 
Unajuaje kama kweli hamegwi na mume wake? Maneno ya kuambiwa sio ya kuamini 100%. Mambo yapo hivi:-
Kutoa mimba ni dhambi na sio hivyo tu, huyo mwanamke anaweza kupata madhara kiafya.

Kumbambikia mume wake pia sio issue ķwa sababu siku akigundua anaweza kumzuru huyo mwanamke pamoja na mtoto.

Swala la msingi hapo inabidi huyo mwanamke aondoke hapo kwa sababu, sababu za kuondoka tayari anazo kama ulivyo ainisha kwenye mada.

Sent using Jamii Forums mobile app

Daaah...! Acha tu mkuu. Hatari.
 
Kisa tu umeikariri hiyo dawa unaona ni sawa tu kumtajia huyu mleta mada??!!..

Pathetic

Sent using Jamii Forums mobile app

Pole kwa kuumizwa na jibu langu, hivi unafikiri wote wanao toa hizo mimba mtaani nawatajia mimi? Kusema nazikariri utafikiri wewe ndie umetengeneza kwamba unazijua sana.
 
Au aombe Talaka.Mana Hata mahakamani akisema mume hataki kunipa unyumba kwa muda mrefu Ni sababu kuu ya kutoa Talaka.Mana ya ndoa Ni nini Sasa kama hampi?Na labda kama anakaa hapo sababu ya Mali Mana wanawake tuna akili fupi sometimes MTU unaona kabisa hakupendi tena umeganda kisa ana Mali.Aiseee hup Ni ujinga Kwani wewe au ukiwa Na MTU mwingine huwezi kuzitafuta?? Mwisho Ndo visa mume amuua mke. Ukiona penzi limeisha bora uangalie Njia ya kutoka au vumilia but usichepuke.Madhara Ndo kama hayo.Unapata mimba Halafu hujui Hata u afanyaje.(Let say akaenda kutoa akafa watatrace chanzo Na mhusika mtakuwa matatizoni sana hasa kwa mume.So decide wisely.
Unajuaje kama kweli hamegwi na mume wake? Maneno ya kuambiwa sio ya kuamini 100%. Mambo yapo hivi:-
Kutoa mimba ni dhambi na sio hivyo tu, huyo mwanamke anaweza kupata madhara kiafya.

Kumbambikia mume wake pia sio issue ķwa sababu siku akigundua anaweza kumzuru huyo mwanamke pamoja na mtoto.

Swala la msingi hapo inabidi huyo mwanamke aondoke hapo kwa sababu, sababu za kuondoka tayari anazo kama ulivyo ainisha kwenye mada.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Au aombe Talaka.Mana Hata mahakamani akisema mume hataki kunipa unyumba kwa muda mrefu Ni sababu kuu ya kutoa Talaka.Mana ya ndoa Ni nini Sasa kama hampi?Na labda kama anakaa hapo sababu ya Mali Mana wanawake tuna akili fupi sometimes MTU unaona kabisa hakupendi tena umeganda kisa ana Mali.Aiseee hup Ni ujinga Kwani wewe au ukiwa Na MTU mwingine huwezi kuzitafuta?? Mwisho Ndo visa mume amuua mke. Ukiona penzi limeisha bora uangalie Njia ya kutoka au vumilia but usichepuke.Madhara Ndo kama hayo.Unapata mimba Halafu hujui Hata u afanyaje.(Let say akaenda kutoa akafa watatrace chanzo Na mhusika mtakuwa matatizoni sana hasa kwa mume.So decide wisely.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema vyema kabisa. Hiyo ndio option kidogo yenye afadhali. Pia hili swala inabidi liwe somo kwetu sote. Kama mtu mmeshindwana mwache aende

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake
Mawazo murua kabisaa
 
Back
Top Bottom