Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Kwanza kabisa jamani nawasalimu.

Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu. Niko na dada mmoja hivi ambaye tumetokea kuwepo kwenye mahusiano si muda mref sana ila kiukweli amejitoa sana kwangu kutokana na sababu za kuwa mumewe hamjali kwa lolote lile.

Huyu dada tumeshakutana kimwili kwa mara kadhaa ila bahati mbaya jana amenipigia akisema haoni siku zake, ambapo kikawaida alitakiwa kupata tarehe 23-25 lakini mpaka tarehe 28 jana hakuona kitu.

Sasa nikamshauri apime kwanza ili ajue labda mzunguko umebadilika. Leo ameenda hospitali kapima kakuta ana ujauzito, kwa madai yake ni kuwa mumewe hana habari nae kabisa na wala hampi haki yake kiasi kwamba amejikuta akitafuta mtu wa nje amshughulikie.

Sasa mpaka leo hii ananiuliza nafanyaje sasa na mume wangu hajanigusa nna muda akirudi hana habari na mimi, hataki kuzaa.

Naulizia tunaweza kutumia dawa gani ili aweze kuutoa huu mzigo kwa sababu tayari una mwezi mmoja wakuu.

Msaada wenu tafadhali wakuu.

Ahsanteni sana.
Shamba umeliandaa mwenyewe, ukakata miti, ukang'oa visiki, ukachoma! Ukalima, ukapanda mbegu, zikaota, sasa hutaki kuvuna mazao!! Mimi sijakielewa kabisaaa!!!!

kutoka: 22D Arnold st.
 
KY itakusaidia sana............ hivi mtu unafikiriaje mpaka unakula muke ya mutu??!!! wanawake tusaidieni hapa..
 
Pokea ushauri. Acha ujinga. Hakuna mke wa mtu mwenye ujauzito usio wa mmewe labda ameachika. Wanawake malaya hutafuta malaya wa kiume wawaambie kuwa hatoshelezwi ili tu wazini kadrio pepo wao anavyotaka kingine wanaume wapumbavu huliwa pesa zao kwa kutunza mimba za wake za watu sasa sikia
"Kibarua hajawahi kumiliki shamba alilolima kibarua"
Umefungulia comments vizuri sana.
Mbali na hilo kwann akubali kutembea na mke wa MTU?
Halaf anakuja huku anataka tumpe mbinu za kuua kiumbe ambae hana hatia. Jinga kabisa hajielewi

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri huu ni mwambie ajinyegeshe mnoooo amtege mumewe ahakikishe mumewe anakamua kitumbua basi atampa mimba mumewe mchezo umeisha that way mmeokoa uhai wa kiumbe
 
KY itakusaidia sana............ hivi mtu unafikiriaje mpaka unakula muke ya mutu??!!! wanawake tusaidieni hapa..

Mkuu mumewe hamtimizii haja zake za kimsingi inavyotakiwa ndo mana mkuu.
 
Asante sana kiongozi. Huduma zao zinakuaje mkuu...?
Ni kweli alimuhisi kuwa ana mwanamke sehemu nyingine ndio mana akirudi hamfanyi chochote ni muda mref sasa.

Ila kumueleza hataweza coz hawezi kumuelewa hata kidogo na ndio itakuwa sababu ya kufukuzwa hapo nyumbani mkuu.
umemuuliza mumewe kama uliyoambiwa na mkewe ni ya kweli au unataka kujustify your sins
 
Kuna jamaa kazaa naye kabisa bila kujua sasa anatangaza kwa familia na jamaa kasepa hataki bugudha baada ya kujua na ana watoto wengine pia,,,wa ndani….huyo je afanyeje,,,na yeye ana ndoa yake...
 
Pokea ushauri. Acha ujinga. Hakuna mke wa mtu mwenye ujauzito usio wa mmewe labda ameachika. Wanawake malaya hutafuta malaya wa kiume wawaambie kuwa hatoshelezwi ili tu wazini kadrio pepo wao anavyotaka kingine wanaume wapumbavu huliwa pesa zao kwa kutunza mimba za wake za watu sasa sikia
"Kibarua hajawahi kumiliki shamba alilolima kibarua"

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli unachosema ila anavyosema ni kuwa mumewe hajamgusa ana muda mref mkuu.
 
umemuuliza mumewe kama uliyoambiwa na mkewe ni ya kweli au unataka kujustify your sins

Namuulizaje aisee itakuwaje nikae na mkewe tunaanza kuulizana kuwa mumewe hajamfanya siku nyingi unadhani atanielewaje kiongozi...?

Na pia hatujawahi kuongea hata siku moja na huyo mumewe mkuu.
 
mpaka ufir****** ndo utaacha... mbona visungura pori vimejaa bro......acha kabisa...ni ushauri tuu...sikulazimishi

Mbona una harsh words hivyo na wee unagongewa nini aisee. Hahah.
 
Mkuu punguza ukali wa maneno aisee.

Sijajua kweli kama ni yangu au sio yangu ila kwa maelezo yake anasema ni yangu mkuu.

Na ndio maana nikaleta jamvini hapa ili nipate mawazo yenu wakuu. Msinishambulie bwana angalieni njia sahihi ya kunisaidia kwa huu mtihani wakuu.

Sasa kwa nini aseme tukaitoe kama ni ya mume wake mkuu...?
kwani una mtihani gani hapo, wakati mwanamke yupo kwa mume wake..! Acha ubwege dogo....
 
Usemacho ni kweli kabisa ila sasa baraka hii ipo kinyume nyume mkuu.

Anadai mumewe wamekwazana muda tu na hajamgusa muda mref sana mkuu.
Kwanini useme bahati mbaya amepata ujauzito, bahati mbaya inatokea wapi? Ukila ni lazima ushibe..
Kama nakuona ulivyonyong'onyea and u wish Kama ungetumia condom. Kila la kheri baba kijacho
 
Hiyo ndio madhara ya zinaa,ulikuwa unaona raha,ukajiona unafaidi,tena unajificha hutaki kumwambia mtu yoyote,leo yamekukuta unamwaga mambo hadharani,kweli shetani hana maana...
 
Back
Top Bottom