Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Mke wa mtu ana mzigo wangu jamani

Tena jamaaa aanaonekana mjinga sana
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaaa kiazi sana
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani wewe unahangaika kutoa Mimba ya Mke wa mtu???? Nilijua mwanafunzi labda mzee baba.. Wewe kata mawasilianoo achana naee atajua mwenyewee na mume wakeee... Mwmbie tu atumie akili alafu potea jumlaaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Una uhakika gani alikuwa anakupa wewe tu?? Mjini hapa mzee baba ukute hata mimba pengine hanaaaa... Maana kama mumewe hataki mtoto means lazima atakuwa anatumia njia ya uzazi wa mpangoo...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa jamani nawasalimu.

Niende moja kwa moja kwenye mada wakuu. Niko na dada mmoja hivi ambaye tumetokea kuwepo kwenye mahusiano si muda mref sana ila kiukweli amejitoa sana kwangu kutokana na sababu za kuwa mumewe hamjali kwa lolote lile.

Huyu dada tumeshakutana kimwili kwa mara kadhaa ila bahati mbaya jana amenipigia akisema haoni siku zake, ambapo kikawaida alitakiwa kupata tarehe 23-25 lakini mpaka tarehe 28 jana hakuona kitu.

Sasa nikamshauri apime kwanza ili ajue labda mzunguko umebadilika. Leo ameenda hospitali kapima kakuta ana ujauzito, kwa madai yake ni kuwa mumewe hana habari nae kabisa na wala hampi haki yake kiasi kwamba amejikuta akitafuta mtu wa nje amshughulikie.

Sasa mpaka leo hii ananiuliza nafanyaje sasa na mume wangu hajanigusa nna muda akirudi hana habari na mimi, hataki kuzaa.

Naulizia tunaweza kutumia dawa gani ili aweze kuutoa huu mzigo kwa sababu tayari una mwezi mmoja wakuu.

Msaada wenu tafadhali wakuu.

Ahsanteni sana.
jifunze kutumia akili, kuna mdau hapo juu kakushauri vizuri sana
 
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake
Aise una hitaji sana muda wa kujifunza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake
Hahaha Pitia hapa Malaika Dodoma unywe bia mkuu...... ushaur mzur sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kati wa wapumbavu wa mwaka huu 2019, hakuna mke wa mtu mwenye mimba ya mtu mwingine, unadanganywa kijinga sana wewe, hivi una akili hata kidogo? nilishawahi sema Malaya wote wake za watu husema waume zao hawawapi ili kuficha umalaya wake kwako, kalagabaho limbukeni wa wanawake
Umempatia jinga kabisa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu punguza ukali wa maneno aisee.

Sijajua kweli kama ni yangu au sio yangu ila kwa maelezo yake anasema ni yangu mkuu.

Na ndio maana nikaleta jamvini hapa ili nipate mawazo yenu wakuu. Msinishambulie bwana angalieni njia sahihi ya kunisaidia kwa huu mtihani wakuu.

Sasa kwa nini aseme tukaitoe kama ni ya mume wake mkuu...?
Humu jf hakuna wa kukushauri mtoe mimba wewe subiri mtoto ulee na Mme mwenzako msaidiane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu punguza ukali wa maneno aisee.

Sijajua kweli kama ni yangu au sio yangu ila kwa maelezo yake anasema ni yangu mkuu.

Na ndio maana nikaleta jamvini hapa ili nipate mawazo yenu wakuu. Msinishambulie bwana angalieni njia sahihi ya kunisaidia kwa huu mtihani wakuu.

Sasa kwa nini aseme tukaitoe kama ni ya mume wake mkuu...?
Anataka ela ya kutolea tuu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom