Mke wa msela wangu katoroshwa

Mke wa msela wangu katoroshwa

Paka haishi kwa msela.Usela ukizid kama baba swalehe noma.Apunguze usela aende kwa wazazi akawape taarifa.
 
Atoroshwe ye mtoto????...Ana akili zake timamu na mtu mzima..Sema kamtoroka mume wake!
Na akirudi mume amchape makofi ya maana hadi aseme alikua wapi! wanawake wengine hawajui kuridhika!
kwa kweli agy naomba nkwambie nakupenda sana
 
HERI YA PASAKA

Leo rafiki yangu siku ya leo imemuanza vibaya baada mkewe waliozaa nae watoto wawili kutoroshwa na jamaa mwingine na kuachiwa watoto bado wadogo.

Kiukweli inaniuma, hapa najaribu kumtuliza jamaa angalau hata ale lakini imeshindikana.

Duu wanawake mna roho mbaya kinoma!
Hiyo ndiyo kazi ya mitandao ya kijamii siku hizi!
 
mpaka sasa % ya kuoa imebak 0.9 hawa wanawake sijui wana nini??
 
mwambie kama akirudishwa huyo mkewe akaze kiuno sio anatia kama anacheza mdako
 
HERI YA PASAKA

Leo rafiki yangu siku ya leo imemuanza vibaya baada mkewe waliozaa nae watoto wawili kutoroshwa na jamaa mwingine na kuachiwa watoto bado wadogo.

Kiukweli inaniuma, hapa najaribu kumtuliza jamaa angalau hata ale lakini imeshindikana.

Duu wanawake mna roho mbaya kinoma!
We ni jipu vilevile. Kama hamjampa mahitaji ataendelea kutoroshwa na kwa vile hamjitambui akirudi mtampokea. Mara ijayo mtamsindikiza wenyewe kwa wanaomtosheleza mahitaji ya mwili na roho. Kaseme haya maneno kwa huyo msela wako maana wasiwasi wangu hawezi access jf
 
HERI YA PASAKA

Leo rafiki yangu siku ya leo imemuanza vibaya baada mkewe waliozaa nae watoto wawili kutoroshwa na jamaa mwingine na kuachiwa watoto bado wadogo.

Kiukweli inaniuma, hapa najaribu kumtuliza jamaa angalau hata ale lakini imeshindikana.

Duu wanawake mna roho mbaya kinoma!
Pole sana
 
Hakuna mwanaume wa kutorosha mke these days
huyo kaazimwa tu kwa sikukuu
jumanne mkewe atarudi apunguze presha....

siku hizi wanawake hawatoroshwi...wanaondoka wenyewe na kurudi
Hahaha
 
Atoroshwe ye mtoto????...Ana akili zake timamu na mtu mzima..Sema kamtoroka mume wake!
Na akirudi mume amchape makofi ya maana hadi aseme alikua wapi! wanawake wengine hawajui kuridhika!
Hahaha
 
Back
Top Bottom