Mke wa mchungaji ananitaka

Mke wa mchungaji ananitaka

huyu kama alimwagwa ville on.application anyway
 

Attachments

  • IMG-20141220-WA0015.jpg
    IMG-20141220-WA0015.jpg
    24.1 KB · Views: 419
Kimbia zinaa uiokowe nafsi yako isije kuangamia kwa dhambi kama Yusufu alikataa kuzini na mwanamke mwenye uzuri usio na kifani tena ni mke wa mfalme wewe ni mke nani hata ushindwe
 
Achana nae. Kama una mke au mchumba,basi mtendee haki. Mpe hii taarifa. Akikubali, nenda kalale na huyo mwanamke mpumbavu,tena mke wa mchungaj. Nataman nitukane. ..dah. Ku,.. Kumbavu.
 
Mke wa mtu sumu. Yaliyopita si ndwele ganga yajayo. Achana na mambo anayoyataka. kama unaweza biki kuwa marafiki tu kama huwezi achana nae kabisa. Sasa hivi huwezi ona madhara yake lakini pale utakapofumaniwa ndiyo utajuta, mapenzi hayana siri wala kificho.
 
Uwe unatembea na maziwa na KY kwani mke wa mtu sumu.
 
Biblia inasema "Ikimbieni zinaa" haijalishi ni mke wa mchungaji,wa Askofu au mke wa mtu yeyote,zinaa ni zinaa.

Pia ni kumvunjia heshima huyo mchungaji.
 
Kutembea na mke wa mtu ni laana isiyosameheka, kuwa mkweli na umwambie yeye ni mke wa mtu akupe amani, wala usitumie uongo wowote mwingine ooh eti nina ukimwi.
 
Nitakupata tu baba!

ukinipata alafu utanifanyaje kwa mfano mim nimeweka hapa ili niweze kupata mbinu zaidi ili mambo yawe sawa kwako na kwangu upo bwana
 
Nitakupata tu baba!


Huo sasa ubabe usio na tija ungemegewa sasa sijui ingekuwaje hebu tumia busara kama maandiko yasemavo, wacha kujipalia makaa ya moto ukizingatia wewe ni kiungo cha Allah!
 
hapana kaka unajua upelelez unabidi uwe mpole kidogo kwa sabab mim namjua ila sikuamin nilitaka kuona kweli ni mke wa mchungaji? ndio mana nilienda kanisan siyo nyumbani kiukweli kama ni kosa la kukubali nimelifanya nakir hilo

mimi ni ke bana, humu jf tunaitana "mkuu"! Ila we mpotezee huyo atakuletea shida mke wa mtu huyo angalia sn
 
mimi ni ke bana, humu jf tunaitana "mkuu"! Ila we mpotezee huyo atakuletea shida mke wa mtu huyo angalia sn

kula kitu wewe tena vya Arusha nivitamu mno chapa ilale /ssss Piga kitu hicho cha mchungaji kilichojileta 18
 
Back
Top Bottom