Mke wa mchungaji ananitaka

Mke wa mchungaji ananitaka

Amina baba, basi wacha aliwe tu, hamna namna nyingine. Ila roho inauma baba~
Huo sasa ubabe usio na tija ungemegewa sasa sijui ingekuwaje hebu tumia busara kama maandiko yasemavo, wacha kujipalia makaa ya moto ukizingatia wewe ni kiungo cha Allah!
 
"IKIMBIE ZINAA" kama Yusufu mwana wa Yakobo alivyojua ni "UBAYA MKUBWA NA KUMKOSA MUNGU.
{MWANZO 39:6~12;1KOR 6:9,15~18}
 
aisee una namba yake??? hebu weka hapa!........ watu mnakosaga bahati hivi hivi... ww hujui kwamba papuchi utapewa na sadaka na maffungu ya kumi utakula hadi uchoke??
 
Simu yako kapata majuzi na Arusha umeenda ukaona mwaka juzi, hii sijailewa imekakaaje. Mlionana Arusha Mwaka juzi kabla hajaipata namba yako majuzi?????????????
 
mwanakondoo anataka umtwae...mtafune tu baba si kamba yake imekatika!!!
 
Duh! Ni changamoto na mitihani ya maisha. Jitahidi uishinde.

Mpaka kaileta humu jamvini ni kwamba imeisha mshinda. Kumbuka
1. Huyo ni mke wa mchungaji, sio mchungaji
2. Kanisa laweza kuwa la imani mchanganyiko (mtoa mada kalificha kapuni)
3. Ogopa ndoa yoyote ile bila kujali ya mchungaji, ya shehe au member wa jamvi hili.
 
kama unamtaka endelea nae siyo kuleta ----- humu ndani.
 
Kwamba bado unamuwazia peke yake ni hatari sana. Unajiingiza katika mtego ambao utajutia maisha yako yote. Ningetaka niseme hivi:

1. Kuzini na mwanamke yeyote yule ni mbaya
2. Kuzini na mke wa mtu ni jambo baya sana
3. Kuzini na mwanamke unayejua ameolewa ni mbaya zaidi

Watu wana mitizamo tofauti, kuna wale wanaowaza kabla ya kutenda na kuna wale ambao akili yao inazidiwa nguvu na Hisia za mwili - na hadi wanapokuwa wametimiza hisia zao (wamezini)ndipo akili inapowarudia. Moja ya mambo yanayokera watu wengi ni pale wanapokuja kugundua kuwa waliyezini nae hakuwapenda bali zilikuwa ni muwako wa tamaa za mwili na roho!
Usiutumie udhaifu wa mwanamke au mwanamme kuzini nae, utakuja juta!
Usikubali kutumiwa na watu wadhaifu kuharibu misingi ya utu!
 
dhambi ya kudhamiria haisameheki na unalopanda leo,utalivuna hapahapa duniani,na zawadi njema itwayo "moto wa milele" utaipata siku ya hukumu.wote wazinzi na waasherati unawahusu huu ujumbe.
 
Aiseeeeh
Piga tu , mchungaji akikufumania atakemea pepo , pepooo tokaaaa.
 
Kwahiyo alivyokwambia uongope kuwa wewe ni kaka yake ulikubari?


hapo ndo pananipa hofu,,,, ulikubali kwa kaka yak mkuu angalia fumanizi linakusogelea, futa hata namba yake na utafute mrembo uoe.....kwanza hata kuchat nae ni kosa kwani yeye kihisia keshazini na wewe.....mke wa mtu huyo brooo....
 
Huyo ataweza kukusingizia umembaka au umejaribu ili akukomoe mke wa pasta huyo. Sasa kaa nae mbali acha kupokea simu zake, hata za mumewe as yeye atakuja jua ni muongo na chochote bi dada atakachosema utajuta kukisikia.

Ila unaendelea wasiliana nae wa nini kama wewe haumtaki? Kama kweli hautaki basi sepa maana mapasta wana umafia atakumaliza kwa kutaka kumtia aibu na kanisa lake.
 
Jamani hii sio hadithi ni ukweli yamenikuta.

Huyu mdada sasa mama nitaeleza Historia yake ili muelewe, mimi na yeye tulisoma Primary tukiwa darasa la sita nikamtongoza akanikatalia mimi nikawa mpole, wakati wetu darasa la sita miaka 18, baada ya muda akapata mimba na shule akaacha akataka nimuoe mimi nikamkataa kwa siri bila kumwambia basi shule ilipoisha tulitawanyika na mihangaiko ya maisha hatujakutana tena mimi nikaenda sekondari mpaka elimu ya juu.

Hapa majuzi akapata Namba yangu akanipigia akasema ameolewa yupo Arusha nikampongeza akasema, niende Nyumbani halafu akasema useme mimi ni kaka yake kwa mumewe siku nyingine akapiga simu tukaongea na mumewe safi tu ila siku moja mwaka juzi nilikuwa Arusha kikazi siku ya krismas nilienda kanisani kwao kusali basi tukasalimiana pale mumewe akijua mimi ni kaka yake basi tukaagana.

Tatizo likaja mumewe alisafiri akapiga Simu usiku sana kanitamkia kabisa anataka nifanye mpango niwe naye mapenzi yake kwangu bado yanamsumbua angalau tufanye mapenzi.

Mimi nimekataa ila ananisumbua sana.
hii story ni ya siku moja mwaka juzi au hivi majuzi
 
Back
Top Bottom