NIMPENDENANI
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 6,114
- 5,380
Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
nitafte nkufundishe ni yapekee sana haichoshi wala haikeri utamu unausikia mwanzo mwisho
Sema hapa hapa watu wote tujue jamani
Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi.
Hahahaha yani nimecheka eti style ya brn ndio ikoje?