Mke wa kaka (shemeji) ananitaka kimapenzi

Mke wa kaka (shemeji) ananitaka kimapenzi

Walioweka siku ya wajinga , walijua kuna mataahira kama wewe mnaohitaji siku yenu !!!!
 
usisahau kumpa ile style ya POPO KANYEA MBINGU yaanii
 
Daaaah!! Alafu mtu huyu unamkuta anajiita eti MSOMI... Bora ukose mali upate akili
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.

Inawezekana Shem wako kaambukizwa HIV na mme wake (kaka yako?) so ana hasira na ukoo wenu anataka kummaliza mmoja baada ya mwingine. So nenda kafie kwenye kidonda. Si unajua madereva wa malori kuwa kila kituo ana demu.
Go go go usilaze damu, nenda kapige BRN dogo.
 
Kama nia yako ilikuwa kumuingilia shemejio nakuomba uache.

Tafuta wa kwako, tafadhali usijaribu hilo zoezi
 
Jamaa mmoja alijinyonga baada ya kusikia mkewe katiwa mimba na mdogo wake,mfano ndio huo kaka yako mlevi we unamtaka mkewe sasa siku uonyeshwe vyeti kuwa wameathirika cjui utaanzaje kucheka.
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
Umejuaje kwamba kaka yako ndiye atatangulia kufa ili wewe urithi mke wake? wewe ni MBUTE kabisa!
 
Mke wa kaka yangu (jina kapuni) ananitaka nimtimizie haja zake kimapenzi. Maana anadai bro ameendekeza ulevi sana hata hana hamu nae.

Kwa kweli nimeona shemeji ana hoja ya msingi maana hataki kutoka nje ya ukoo ili tusipoteze kizazi. Hata ikitokea broo amekufa mimi ndio nitamrithi shemeji kama mumewe.

Nakuahidi shemeji nitakupa mambo adimu na style kibao za maana ikiwemo BRN.
Umejuaje kwamba kaka yako ndiye atatangulia kufa ili wewe urithi mke wake? wewe ni MBUTE kabisa!
 
me ndo maana sipend kuwalea kwangu nyie me naenda kaZn we unakaaa na mke wangu tu seblen mshaanza kutamaniana subir nrudi kesho urud Mafinga kwa Mama
 
Back
Top Bottom