Barn
JF-Expert Member
- Feb 28, 2017
- 2,733
- 4,044
Anataka urudi shule huyo ndio sababuJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app






Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni mjinga kabisa.Hakuna tusiu linakufaa Zaidi ya hiloJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
We punguani kweli kweli mke wa kaka'ko akufulie? Hapaswi kumfulia hata kaka'ko aliyemuoa wacha wewe. Kwani kwenu huwa mnaoa ili mwanamke awe mtumwa wenu?
Kazana.
Tafuta bwana uolewe awe anakufulia kijana mchele mcheleJamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa kanda ya ziwa manyau tena.Siyo wote. mimi nimeishi na wadogo zangu sana tu,sijawahi sikia hiyo kitu aisee Tuheshimiane shemeji. Naomba unifulie😀😀😀😀
HahahahahahahaWatu wa kanda ya ziwa manyau tena.Siyo wote. mimi nimeishi na wadogo zangu sana tu,sijawahi sikia hiyo kitu aisee Tuheshimiane shemeji. Naomba unifulie😀😀😀😀
Ndiyo nimeandika hivyo. Nini usichokielewa?
Ndiyo nimeandika hivyo. Nini usichokielewa?
Haha ndo maana ni bibi ya brother yako,so rahisi tafuta wako uoe and.maybe then atakuwa anakufulia,una bahati huku hata bibi yako haezi kufulia,atazipatia maid afue na ni wewe tu ndo utalipa huyo maid ama ka ngumu jifulie,Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app