Mke wa kaka hataki kunifulia

Mke wa kaka hataki kunifulia

Wewe jamaa ni fala kabisa , mshenzi na kubwa jinga .
Pumbavu Kaka yako kwani ameoa mkwe wa familia nzima shenzi mkubwa wewe
Unapata wapi ujasili wakumwambia mke wa kaka yako akufulie nguo zako?
Tena inabidi uondoke hapo kwa kaka yako usije ukaharibu ndoa yake.
Wewe ni kilaza kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku sio nyingi utalialia humu kuwa mke wa kaka kakunyima papuchi

Nanaa
 
Back
Top Bottom