Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
😀Huna haya hujui vibaya muone
Hahahaha
Kweli hiki kizazi kina watu mizigo !! Badala ya kufikiri utajiokoaji kutoka hapo ulipo ukaanzishe maisha wewe unafikiria kufuliwa !!
We punguani kweli kweli mke wa kaka'ko akufulie? Hapaswi kumfulia hata kaka'ko aliyemuoa wacha wewe. Kwani kwenu huwa mnaoa ili mwanamke awe mtumwa wenu?Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
HahaaaKiufupi hivi ndio unavyoonekana:View attachment 1011153
Halafu unataka ufuliwe? Jiongeze tu ujue nini chakufanya
Manyau ya kanda ya ziwa yana hizi tabiaWe punguani kweli kweli mke wa kaka'ko akufulie? Hapaswi kumfulia hata kaka'ko aliyemuoa wacha wewe. Kwani kwenu huwa mnaoa ili mwanamke awe mtumwa wenu?
Kazana.
Hawa ndio wapiga kura ambao wapinzani ina wategemea ili waweze kuitoa ccm madarakaniUna akili sawa sawa wewe? Kwani umekatwa mikono huwezi kufua mwenyewe!?![]()
Unatokea mkoa gani?Jamani Mke wa kaka yangu kagoma kabisa hataki kunifulia nguo zangu,
Nifanyeje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawezi mkuu,labda aolewe.Nawewe s uoe wako aseee