Mke wa kaka ananitia majaribuni

Mke wa kaka ananitia majaribuni

chlorine gas

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
2,544
Reaction score
2,693
Habari za weekend wadau ,I hope mko Poa labda niende moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kinavyosema.
Ni hivi nmepata kalikizo kafupi kutoka kiumeni (kwa watabe wa kubeba dunia) now nko dar nmekuja kumsalimia kaka Mana ni muda toka tumeachana mm nkiwa arusha (kiumeni).
Shida iliyonifanya niandike uzi huu ni huyu shemala wangu ,yaaan mke wa kaka Mana toka nimefika hapa ni shida tupu kwa mazingira anayoniwekea na hali hua tete kaka akienda kazini kila nikikaa sebuleni na yeye anakuja tena akiwa na nguo amabazo hua hazinibariki kbsa ukizingatia yeye ni mke wa kaka yangu ,hua anapenda sana kuniangalia usoni na kutabasamu kuna siku nlikua nmetulia zangu nacheki movie akaja akawa ananipigisha story haishi kunisifia Mara chlorine gas ww ni mpole kuliko kaka yako Mara macho yako yananichanganya sometimes namkatisha maongezi kwa kuleta mada zingine hali hii inaniogopesha Mana hata tukiwa tupo na kaka huyu shemela ananitupia vimacho vya wizi wizi as if kuna kitu anataka ,nmejarbu kujiweka mbali kwa kuwatembelea washkaji zangu na hata nkirudi nyumban najifungia chumbani lakn kila nkitoka analalamika kwenye meseji eti nmeenda kwa vimada vyangu badala nikae nyumbani nitulie ukizingatia kazi yangu mm ni ya kubeba vyuma(sifa damu) sasa nashindwa cha kufanya hapa nmepanga nisepe zangu mji kasoro bahari nkamalizie likizo yangu nirudi kiumeni arusha ,naogopa sana wake za watu jaman wanawake mlio kwenye ndoa msitutie majrbuni mashemeji zenu tunapokuja kuwasalimia kumbukeni na sisi tuna ugwadu vile vile mambo yanapotuzidia punguzeni Mitego.
 
Sasa si ukapande hood uwahi moro?

Afu likizo gani unajazana kwa watu? kutembea kwa mtu siku 2 tatu unasepa wee unajibwaga bwaga kwenye masofa tu afu wenzio wamezoea kunjunjana shoo za kibabe sebuleni wewe umeenda unawajazia jam.

Ondoka mkuu.
 
Ndiyo anakutega hapo sasa hivi nini?
Maana uandishi wako hauna viwango.
Mpe anachotaka.
Kiukweli mm sio mwandishi mzurii nisamehe kwa hilo ila kwa ku mpa anachotaka ni vigumu japo najua anataka nimtindue
 
Achana na hilo shetani, rudi home. Biblia inasema "mwanamke ndo chanzo cha dhambi duniani, na wote mtakufa kutokana na yeye" mtavunja undungu kwa ajili ya nyoro.
Santee kwa ushauri ndo Mana nataka nisepe zangu niende Moro niikimbie dhambi
 
Sasa si ukapande hood uwahi moro?

Afu likizo gani unajazana kwa watu? kutembea kwa mtu siku 2 tatu unasepa wee unajibwaga bwaga kwenye masofa tu afu wenzio wamezoea kunjunjana shoo za kibabe sebuleni wewe umeenda unawajazia jam.

Ondoka mkuu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ni mwendo wa BM tu,, ila huyu anataka nimtindue yaan kaka hakiwa hayupo napata shida siwezi kuandika mengine humu yaan huyu ni kivurugee
 
Back
Top Bottom