Mke wa kaka ananitia majaribuni

Mke wa kaka ananitia majaribuni

Hayo mambo wala hayahitaji ushauri. Fanya kumpotezea likizo ikiisha rudi home. Ni ujinga kuleta mada huku kama jambo ziiito kumbe liko chini ya maamuzi yako.
 
Sasa si ukapande hood uwahi moro?

Afu likizo gani unajazana kwa watu? kutembea kwa mtu siku 2 tatu unasepa wee unajibwaga bwaga kwenye masofa tu afu wenzio wamezoea kunjunjana shoo za kibabe sebuleni wewe umeenda unawajazia jam.

Ondoka mkuu.
Mwache apite nae
 
Kiumeni,Kubeba dunia,sifa damu!!!! Haha mkuu rudi kiumeni tu au pitia Masika hapa moro uje ukae na wazee wenzako. Punguza kumtembelea kaka yako kama hujaalikwa
 
Hayo mambo wala hayahitaji ushauri. Fanya kumpotezea likizo ikiisha rudi home. Ni ujinga kuleta mada huku kama jambo ziiito kumbe liko chini ya maamuzi yako.
Nmependa hako ka picha kwenye avatar yako[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kiumeni,Kubeba dunia,sifa damu!!!! Haha mkuu rudi kiumeni tu au pitia Masika hapa moro uje ukae na wazee wenzako. Punguza kumtembelea kaka yako kama hujaalikwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sawa mkuu
 
Back
Top Bottom