EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Toka lini kuwa na Kimada au kupora mke wa mtu kwa viongozi wa afrika uikawa issue,acheni hizo mbona hata huku CCM wapo kibao,jaribuni kwenda pale dodoma wakati wa mikutano mikuu ya CCM ndipo utakojua kuwa hakuna mwadilifu
Wale wale wanachukua uchafu wa watu wengine kujustify uchafu wa mtu mwingine. Yaani ni sawa kwa rais mtarajiwa kupora wake za watu? Sijui Watanzania tutajifunza lini.