EXECUTIVEBwana pauls, Private matters are off Limit in politics, hakuna familia au mtu asiyekuwa na matatizo kwenye ndoa yake that is fact number one, pili usije kukuta wewe ndo worse zaidi kuliko Josephine, Kwani suala la uaminifu kwenye ndoa ni matatizo ambayo asilimia kubwa ya watanzania wanayo, Tatu ur not so sure with all facts kuwa what real transpared kumfanya amwache huyo bwana! hivyo kuna mengi yanasemwa lakini suala la msingi kwa nini yasemwe sasa? lengo la hao wanaoeneza mambo ya ndani ya mtu binafsi ambayo hayana TIJA kwa watanzania, ni nini lengo, kupotosha masuala ya msingi au kum disqualify Dr Slaa? kama ni hivyo hakuna raisi yeyote aliyepita na aliyepo madarakani ambao hawana scandal za kuwa na mahusiano ya kimapenza na watu ambao sio wake zao? acha kumhukumu binadamu mwenzako kwani nawe utahukumiwa! hii issue ni upuuzi mtupu kufatilia maisha binafsi ya mtu! Tukianza kushabikia mambo haya viongozi wote wachafuka vibaya sana! hivyo tujikite kujadili mstakabali wa nchi yetu sio mambo ya josephine as a person and her weakness
Yesu aliwaambia wale makuhani na watu mbalimbali waliyemletea yule mama aliyezini kuwa sheria inasema apigwe mawe mpaka mauti impate, lakini bwana YESU hakuhukumu alicho waambiia ambaye anajiona kuwa yeye hana hatia awe wa kwanza kuinua jiwe na kumpiga lakini baada ya mda mchache kila aliyekuwepo alijipeleza na kugundua hata yeye ana hatia mbele za mungu! Tujipeleleze kabla ya kuhukumu wengine na tuuache unafki,
kusema tu hizi ni private matters hivyo ziachwe haitoshi.lazima ukubali hapa Dr kachafuliwa anahitaji kujisafisha kwa mpiga kura, mimi na wewe tunaweza kukubaliana ni private matters lakini mpiga kura ameambiwa Dr hafai sababu ni mwizi wa wake za watu, na kwa taarifa yako nchi hii kuwa na vimada hata mia sio issue kabisa, lakini kuiba mke wa mtu ni issue kubwa, ndio maana kila anaye changia anasema nani msafi mbona Jk anavimada nk, lakini haiwi issue kama ya kuiba mke wa mtu
kwa lugha nyingine ni lazima Dr ajibu hili kuwaridhisha wapiga kura