Chombo Kibaya wanaume mabahili huwa wanafanya ubahli kwa big house zao ila kwa small house full malipuzi!
HEART weee! I cant help to notice you here!!!!!!! LOL! Good evening!Ubahili wake hauhusu kama mwanamke ana kazi yake inayomuingizia kipato..kama mwanamke amekaa anasubiri ATM iteme aaaaaaah lazima apauke kama anaogea sabuni ya magadi....
Chombo Kibaya wanaume mabahili huwa wanafanya ubahli kwa big house zao ila kwa small house full malipuzi!
Mwanamke kupendeza lazima mwanaume anyoshe mkono?
Aaah Maulaga ndugu, kwahiyo ni ukweli mtupu sio?!