Mke siyo ndugu yako!

Mke siyo ndugu yako!

japo hajatendewa haki na hali aliyonayo pia ni ngumu sana kwa kukosa macho!
Kuimba kupokezana, mwanamke nae aitwe aeleze ili tuweze kumwangushia jumba bovu kihalali!
Dunia haina huruma 🥴🥴
 
Kwenye haya maisha siku zote kesho yetu bora inatengenezwa na leo iliyo bora.

Mnaweza kumlaumu na kumpa majina ya ajabu huyo mwanamke kumbe chanzo cha yote ni yeye mwenyewe mwanaume.

Hapo ni anaonyeshwa kuwa siku zote dunia ipo duara.
 
Kwenye haya maisha siku zote kesho yetu bora inatengenezwa na leo iliyo bora.

Mnaweza kumlaumu na kumpa majina ya ajabu huyo mwanamke kumbe chanzo cha yote ni yeye mwenyewe mwanaume.

Hapo ni anaonyeshwa kuwa siku zote dunia ipo duara.
Napenda uwe mshangazi wangu😃
 
Ukianza kuishi kwa namna hiyo na mkeo, mnaweza kuacha kufanya maendeleo kwa kuogopana

Ishi naye, mpende na mshirikishe kwenye mipango yenu yote, na ukiweza mfungulie biashara awe anasaidia kuongeza kipato cha familia

Maisha yetu Wanaume yamekuwa mafupi sana, kumbuka atatakiwa kukulelea watoto wenu ukifa

Maana ni yeye pekee anayeweza kuwatunza watoto wenu kwa kuwapa matunzo na malezi kwa mapenzi kama ambavyo wewe ungefanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom