JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
- Thread starter
- #41
La mbise wanahabari ndo waongo. Na ni shida ya waandishi wetu. Hawachambui tatizo, wanatoa taarifa ya tatizo lilivyo.
Pamoja na kuwa na camera nyingi, kwa nini hatuoni sakata limeanzanje? Kwa nini tunaoneshwa mtu amedhibitiwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
..haingii akilini.
..mwandishi wa habari aliyeko kazini avue shati lake na kuanza kupigana na Polisi.