Mke na Mama hawaamini maelezo ya Polisi kuhusu kifo cha mpendwa wao. Kwanini imani kwa Polisi imepungua?

Tena habari zinazoripotiwa za Polisi ni chache kuliko hali halisi ya mtaani.
Kuna umuhimu wa kulibadili jeshi hili kutoka Police force kuwa police services

Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi wanasemaje? Kifupi asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu. Nionesheni mama hata mmoja aliyewahi kusema tabia mbaya za mwanae.

Pia, mama husubiri pesa iletwe nyumbani, hawezi kuhoji jinsi ilivyopatikana, anapokea na kumuona mwanae anajua kutafta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..ukimsikiliza huyu mama ambaye amempoteza mwanae unaweza kulia kwa uchungu.

..familia haikubaliani na maelezo waliyopewa kuhusu kifo cha mpendwa wao.

..katika mazingira kama hayo nini kinatakiwa kifanyike?

Watasusa, lkn mwishowe watazika. Watakaa na maiti yao hadi lini?

Halafu Polisi wanasemaje? Kifupi asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu. Nionesheni mama hata mmoja aliyewahi kusema tabia mbaya za mwanae.

Pia, mama husubiri pesa iletwe nyumbani, hawezi kuhoji jinsi ilivyopatikana, anapokea na kumuona mwanae anajua kutafta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi wanasemaje? Kifupi asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu. Nionesheni mama hata mmoja aliyewahi kusema tabia mbaya za mwanae.

Pia, mama husubiri pesa iletwe nyumbani, hawezi kuhoji jinsi ilivyopatikana, anapokea na kumuona mwanae anajua kutafta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asiye funzwa na mamaye ndio hufunzwa na Polisi kwa kuuwawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watasusa, lkn mwishowe watazika. Watakaa na maiti yao hadi lini?

Halafu Polisi wanasemaje? Kifupi asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu. Nionesheni mama hata mmoja aliyewahi kusema tabia mbaya za mwanae.

Pia, mama husubiri pesa iletwe nyumbani, hawezi kuhoji jinsi ilivyopatikana, anapokea na kumuona mwanae anajua kutafta.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

..ni vizuri kusikiliza upande wa Polisi.

..lakini, Je, Polisi wanaaminika?
 
..ni vizuri kusikiliza upande wa Polisi.

..lakini, Je, Polisi wanaaminika?
Uwaamini au usiwaamini, kuwasikiliza ni muhimu. Kama pesa inaingia, hakuna mama anayeweza kuhoji mwanae snako zipata.

Yaani mtu anafanya kazi kiwanda cha mabati, aweze kutunza mke, watoto wanne na mama yake?

Kwa maisha ya dar aweze na kumiliki pikipiki? Bora angekuwa muuza matunda, maana wao kulaza faida ya 20,000/- ni kawaida ambapo anaweza acha 10,000/- kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwaamini au usiwaamini, kuwasikiliza ni muhimu. Kama pesa inaingia, hakuna mama anayeweza kuhoji mwanae snako zipata.

Yaani mtu anafanya kazi kiwanda cha mabati, aweze kutunza mke, watoto wanne na mama yake?

Kwa maisha ya dar aweze na kumiliki pikipiki? Bora angekuwa muuza matunda, maana wao kulaza faida ya 20,000/- ni kawaida ambapo anaweza acha 10,000/- kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app

..Maelezo yanayotolewa na Polisi siku hizi mengine hata hayaingii akilini.

..Je, Polisi hawana tabia ya kuwalinda wenzao wanafanya uovu na kuvunja sheria?

..Na matukio ya raia kuuwawa halafu ndugu zao kutokupewa maelezo ya kuridhisha inaelekea yanaongezeka kwa kasi.
 
Polisi wanasemaje? Kifupi asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu. Nionesheni mama hata mmoja aliyewahi kusema tabia mbaya za mwanae.

Pia, mama husubiri pesa iletwe nyumbani, hawezi kuhoji jinsi ilivyopatikana, anapokea na kumuona mwanae anajua kutafta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa mtu mzima usichangie hoja Kissa unabando changia hoja kwa kuleta maana halisi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uwaamini au usiwaamini, kuwasikiliza ni muhimu. Kama pesa inaingia, hakuna mama anayeweza kuhoji mwanae snako zipata.

Yaani mtu anafanya kazi kiwanda cha mabati, aweze kutunza mke, watoto wanne na mama yake?

Kwa maisha ya dar aweze na kumiliki pikipiki? Bora angekuwa muuza matunda, maana wao kulaza faida ya 20,000/- ni kawaida ambapo anaweza acha 10,000/- kila siku

Sent using Jamii Forums mobile app
Wazo mgando

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii nchi bila polisi ni salama kabisa. Angalia tu walivyomgeuzia kibao mwandishi wa habari Wapo Mbise.

PolisCcm you are fakin annoying


..kwa mfano, Polisi wanadai Mbise[ mwandishi] alibishana na alivua shati lake mwenyewe na kupigana na Polisi.

..mimi maelezo hayo siyaamini.

..zaidi, najiuliza kama Polisi wanashindwa kusema ukweli ktk tukio la wazi kabisa kama lile la kupigwa mwandishi wa habari, je wataweza kusema ukweli ktk matukio kama haya ya mauaji?

Cc ntamaholo
 
..kwa mfano, Polisi wanadai Mbise[ mwandishi] alibishana na alivua shati lake mwenyewe na kupigana na Polisi.

..mimi maelezo hayo siyaamini.

..zaidi, najiuliza kama Polisi wanashindwa kusema ukweli ktk tukio la wazi kabisa kama lile la kupigwa mwandishi wa habari, je wataweza kusema ukweli ktk matukio kama haya ya mauaji?

Cc ntamaholo
Huyu jamaa hayajamkuta au na yeye anamaslahi na jeshi la polisi. Sheria ipi inasema hata kama kakamatwa mwizi auawe?
 
Hufunzwa na ulimwengu. Polisi ni sehemu ya ulimwengu.

Naomba maelezo ya polisi ndo tujadili vizuri. Hizi habari za upande mmoja ni fallacy, appeal to pity

Sent using Jamii Forums mobile app
what do you expect mkuu, hata kabla hawajatoa taarifa yao unaweza ukajua watasema nn, kina akwilina yalitokea mchana kweupe ulipowasikiliza walitoa taarifa gani na mwsho wa siku nn kilifanyika? hawa watu ni ngumu sana kukiri km wamekosea
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom