12345Gv
New Member
- May 16, 2017
- 1
- 0
tabia ntazionea wapi sasa kabla sijaoa.!?Hakuna mwanamke mzuri duniani kwa kuangalia sura bali tabia ndo kitu cha msingi
Sent using Jamii Forums mobile app
ndioSi mlisema tabia mtatuambukiza zenu? Au mmeghairi!!
Wameghairi hawa [emoji3] [emoji3] [emoji3]Si mlisema tabia mtatuambukiza zenu? Au mmeghairi!!
Weee kwani mi nai 'press' imani yake!??mi nam 'press' yeye so lazima awe 'mkare' aisee!nisije oa nikaanza chunggulia nje nje tena sheikh.Imani Mungu ndo anaiujua vizuri zaidiWe mwanaume Ndio inabidi umbadilishe mwanamke. Kwa waislam mwanaume atakayeoa mwanamke ambaye si mcha Mungu na akambadilisha mke wake akawa Kwenye imani mwanaume huyu atapata thawab kubwa Sana kwa Mwenyez Mungu. Kuliko Yule atakayeoa Mcha Mungu mwenzie
ni sawa ila tabia zabadilika
Zikibadilika ujue ni uzembe wako umesababishani sawa ila tabia zabadilika
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
Nyie ndio malaika sio, hamkosei
Hata hawaeleweki wanataka nini hawa!
Ndio kuwa mmeghairi au ndio kwamba mtatuambukiza zenu?ndio
tumeghairi.Ndio kuwa mmeghairi au ndio kwamba mtatuambukiza zenu?