Mke mzuri wa nini mtafute mwenye dini

Mke mzuri wa nini mtafute mwenye dini

mahirtwahir

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2013
Posts
614
Reaction score
322
Shangee,

Jamani kina baba nakuusieni wakati mnapotafuta wenza wa kuwaoa uzuri usiwe kigezo cha kuona kua mwanamke huyo atakupa faraja.

Wanawake wote ni pasua kichwa ukimchagua kwa uzuri wake basi andika umeumia hawa madada ni wa ajabu sana wanaekwa ndani wanakua na nyodo ila wakiachika wanaanza kujirahisisha.

Uvumilivu katika majumba yetu ndio unatawala ila kama si wa kuwavumilia mwanaume ukichagua uzuri baaada ya dini kama ni kuacha utaacha asubuhi na jioni, wadada kweli nyie ni muhimu ila mmezidi tena ila ukimuoa mwenye dini nafsi yako itatulia sana kwani;

1 Atajua wajibu wake
2 Atakuheshimu kama isemavyo dini
3 Atawalea watoto katika dini
4 Atakuhimiza nawe kufanya ibada
5 Atakusamehe unapomkosea

Ila kama umechukua shamkupe ukikerana nae basi anakupa adhabu ya kukunyima kipande cha mwili sasa wewe ukichepuka je, ama ukimpiga na chini.

Binafsi niko na wake 2 ila naona kama kuna hatari ya kupigana chini wote ama nile bata ama nitafute wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mwanaume Ndio inabidi umbadilishe mwanamke. Kwa waislam mwanaume atakayeoa mwanamke ambaye si mcha Mungu na akambadilisha mke wake akawa Kwenye imani mwanaume huyu atapata thawab kubwa Sana kwa Mwenyez Mungu. Kuliko Yule atakayeoa Mcha Mungu mwenzie
 
We mwanaume Ndio inabidi umbadilishe mwanamke. Kwa waislam mwanaume atakayeoa mwanamke ambaye si mcha Mungu na akambadilisha mke wake akawa Kwenye imani mwanaume huyu atapata thawab kubwa Sana kwa Mwenyez Mungu. Kuliko Yule atakayeoa Mcha Mungu mwenzie
Umesema kweli ila tabia ni kama ngozi wanawake tunajitahidi kwa wao kuwabembeleza ila mwanmke hakusami hadi siku mushatengana ndio anajua thamini ya mume hasa maisha yakimpoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shangeeee
Jamani kina baba nakuuusieni wakati mnapotafuta wenza wa kuwaowa uzuri usiwekigezo cha kuona kua mwanamke huyo atakupa faraja wanawake wote ni pasua kichwa ukimchagua kwa uzuri wake basi andika umeumia hawa madada ni wa ajabu sana wanaekwa ndani wanakua na nyodo ila wakiachika wanaanza kujirahisisha.

Uvumilivu katika majumba yetu ndio unatawala ila kama si wa kuwavumilia mwanaume ukichagua uzuri baaada ya dini kama ni kuacha utaaacha asubuhi na jioni wadada kweli nyie ni muhimu ila mumezidi tena ila ukimuowa mwenye dini nafsi yako itatulia sana kwani

1 atajua wajibu wake
2 atakuheahimu kama isemavyo dini
3 atawalea watoto katika dini
4 atakuhimiza nawe kufanya ibada
5 atakusamehe unapomkosea

Ila kama umechukua shamkupe ukikerana nae basi anakupa adhabu ya kukunyima kipande cha mwili sasa wewe ukichepuka jeeee ama ukimpiga na chini

Binafsi niko na wake 2 ila naona kama kuna hatari ya kupiga na chini wote ama nile bata ama nitafute wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
Jina lako zuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mahusiano ya mapenzi lazima ukubali mabadiliko,Binadamu wanabadilika kulingana na Mazingira na nyakati,pesa ikipotea ndani mwanamke ataanza kukusumbua usilalamike bali na wewe badilika Tafuta pesa kwa bidii ipatikane hakuna Tatizo kwenye Mahusiano lisiokuwa na Suluhu tatizo wanapenda kulalamika hawako Tayari kubadilika kuendana na hali halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika mahusiano ya mapenzi lazima ukubali mabadiliko,Binadamu wanabadilika kulingana na Mazingira na nyakati,pesa ikipotea ndani mwanamke ataanza kukusumbua usilalamike bali na wewe badilika Tafuta pesa kwa bidii ipatikane hakuna Tatizo kwenye Mahusiano lisiokuwa na Suluhu tatizo wanapenda kulalamika hawako Tayari kubadilika kuendana na hali halisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Furaha yaahusiano si pesa furaha ya mahusiano ni mioyo ya wale wawili wanaopendan kuridhiana daima maisha ya kila mmoja hayajakamilika kila mtu yuko na mapungufu yake mwenye pesa hana Afya mwenye afya hana mtoto mwenye watoto hana utulivu.

Wako wati wana pesa wanawahonga wake zao hadi magari na bado wanawake hao wana serengeti boys mapenzi hayajalishi pesa ingawaje ni kama kachumbari tu kwenye pilau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa waislamu Dini ni mfumo mzima wa maisha ya mwanadamu

Ila Dini kilugha ni kua na imani juu ya jambo fulani ambalo halionekani ( kua na imani na mungu na japo kua humuoni)

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah.... Kuna wanawake wengine wanaamini dini ya mafiga matatu.....[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12]

Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App
 
Inakuwaje mke mfata dini lkn hata kumuangalia unahisi karaha, na je? Unafikiri itakuwa na zamani ya roho na utulivu moyoni.Chagua kizuri kwa matakwa ya nafsi yako ili update pumziko ukifika nyumbani.
 
Back
Top Bottom