Mke mkorofi

Mke mkorofi

Sutra

Member
Joined
Jan 3, 2013
Posts
21
Reaction score
0
Habari wanajf. Mimi nimeoa na tuna watoto wawili ila mke wangu ni mkorofi sana mpaka nafikia hali ya kuwaza ameingiwa na nini. Yaani yeye anataka awe ndio muamuzi wa kila jambo ndani ya nyumba na ukiweka idea yako anaona eti una mdharau mnataka kwenda out basi time yake ndio ifuatwe na sio yako. Na Ikitokea mabishano ya hoja na kuona anashindwa basi atavunja kila kitu km TV, pasi, deck au hata simu anairusha ukutani na kuvunjika kwa hasira. Baada ya siku anasema tununue vitu vilivyoharibika. Sasa mm naona kama ni ukichaa huu, jamani wenye mawazo au maoni naombeni kwani nafikilia mambo mengi sana ya hii ndoa
 
Pole sana, however I think hauja tupa information zote hapo , Au uwongo?

Mimi navyo tazama hapa kutokana na kauli yako, mke wako hataki kushindwa.

Sa kwanini usiwe unampa tu ushindi, ili asipate ule wendawazimu wa kuvunja vitu :biggrin1:
 
Pole sana, however I think hauja tupa information zote hapo , Au uwongo?

Mimi navyo tazama hapa kutokana na kauli yako, mke wako hataki kushindwa.

Sa kwanini usiwe unampa tu ushindi, ili asipate ule wendawazimu wa kuvunja vitu :biggrin1:

Yes ni kweli hataki kushindwa na mara nyingi namkubalia tu ila kuna wkt naona kitu sio sahihi na inabidi nikatae kwa hoja zangu, na hapo ndio hataki. Kwa mfano natakiwa na ofisi kusafiri mkoani kikazi na yeye hataki, sasa hapo lzm iwe hivyo nisiende hiyo safari.
 
Pole sana ndugu yangu.. Sema wewe itakuwa unamatatizo. Huwezi kumchekea kwa swala la kuvunja vitu. Mwambie akanunue yeye alivyovunja. Kama inakuwa shida sana muolee mke mwingine atakuwa na adabu tu.
 
Pole sana gonja wataalamu wa saikolojia ya wanawake waje@Mtambuzi,nahic atakusaidia!
 
Kuna siku atavunjia pasi usoni kwako. Weka mguu chini, hasa kwenye kuvunja vitu. Ukimfuga na hiyo tabia utajuta maisha yote. Kha! Na umpeleke.muhimbili kwanza akatibiwe wazimu, mkitoka hapo pitiliza church.
 
Na kanisani anaenda sana kusali..na tunaenda wote pia..ila anatukana sana matusi utafikili nn sijui.

unaishije na mwanamke anatukana matusi? Na watoto wenu bado hawajaanza kutukana? Na ujue wanajifunza na kuvunja vitu. Siku utasema hakuna kwenda school trip mikumi, watasema na tv!
 
Yes ni kweli hataki kushindwa na mara nyingi namkubalia tu ila kuna wkt naona kitu sio sahihi na inabidi nikatae kwa hoja zangu, na hapo ndio hataki. Kwa mfano natakiwa na ofisi kusafiri mkoani kikazi na yeye hataki, sasa hapo lzm iwe hivyo nisiende hiyo safari.
Umejaribu kuwasemesha family yake wakusaidie kuhusu tabia yake, je alikuwa hivyo kabla ya kuolewa, isije kuwa wewe ndo umemfanya awe vile.

Si unajua kuna badhi ya wanaume, wanapenda sana kukera wake zao haswa wale wenye mawivu, mpaa wake zao wanakuwa wehu.
 
mmh! naona harufu ya pepo la ufilisi na uharibifu hapo.
 
Na kanisani anaenda sana kusali..na tunaenda wote pia..ila anatukana sana matusi utafikili nn sijui.

Kuna kusema prayer na kusali; ni vitu viwili tofauti! Anahitaji kufinguliwa (derivarance) huyo.
 
Huyo akikasirika mko kwenye nani hii si ni balaaa!Kazi ipo maombi ni muhimu
 
Pole sana ndugu yangu.. Sema wewe itakuwa unamatatizo. Huwezi kumchekea kwa swala la kuvunja vitu. Mwambie akanunue yeye alivyovunja. Kama inakuwa shida sana muolee mke mwingine atakuwa na adabu tu.

Unajua ninakua tu mstaarabu tu lkn sasa hivi ndio nimechoka. Na nimeamua sinunui chochote ku-replace kilichoharibiwa.
 
Wanawake ni viumbe wa ajabu kuliko uajabu wenyewe!
"
Mwanaume kuweza kuishi na mwanamke ni digree.
"
Mkeo nenda nae taratibu hicho ni kisirani na kuna wakati kitaisha tu.
"
Ishi kwa akili na mwanamke!
 
We unamchekea tu huyo! Siku moja na wewe badilika hadi ahisi umeingiwa na Pepo mchafu! Turn red kweli kweli aone the other side of you ni kichaa kichaa kweli mara 10 ya ukichaa wake! Ndo atanyooka na kujua kuwa wewe pia wendawazimu wauweza!!!!!! Hiyo vunja vunja yote anajua we mpole huna la kumfanya!!!!!! Sasa akiona umebadilika nae zitamkaa sawa!

We subiri tu siku akikukera sema enough is enough akivunja kitu tu mfukuze na nguo zake tena ita mabaunsa wamtoe nje na nguo zake, funga mlango wako mwambie aende kwao! Usimfate hadi miezi mitatu kuwa gaidi kwelikweli! Ukiitwa na wazazi wake sema yote yanayokukera na waambie ukimrudisha kwako akirudia hata robo ya hayo UNAMUACHA FOR GOOD!!! Tena waambie umesema mbele yao! na hutaniii kabisa! Akirudi atanyooka!!!!!!!!! Tena kama kanyooshwa na RULA!!!!!!!!

Mimi kuna rafiki yangu hivohivo alikuwa anamsimanga mumewe mineno kibao! Jeuir yeye! Mumewe kahamia nyumba ndogo! Kaitwa kikao na wazazi kasema hawezi kuishi na mtu upendo umeisha, amani hakuna, heshima hakuna, anamdharau, gubu haliishi! Kawaambia yeye bado mdogo sana hawezi kufa na pressure! Akasema haoni logic ya kurudi vitani na kuacha amani! Bi dada alinywea kama piriton, kawa mdogooo! Ndo kupiga magoti kuomba msamaha weeeee na kutubu! Siku hizi hasemi fyoko! Heshima na adabu mbele!
 
:target😛ole sana bro,ni kweli mkeo anaweza kuwa na matatizo lakini pia wewe mwenyewe unaweza kuwa tatizo.na tatizo kubwa mi naloliona kwako ni kwamba UNATABIRIKA.anajua kabisa akifanya hivi lazima tu matokeo yatakuwa hivi.so sikumoja mchenjie,jifanye humjui kabisa,ale makofi ya ukweli {usipige kuumiza,bali kumshikisha adabu}chapa kisawasawa akae akijua kwa wakati wote huo umekuwa ukimuheshimu tu na si vinginevyo.atambue kuwa wewe ni mume wake na pia katika familia kuna uongozi ambao baba ndo anaanza then mama,then mtoto mkubwa etc etc.pole sana bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom