trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 746
Na kanisani anaenda sana kusali..na tunaenda wote pia..ila anatukana sana matusi utafikili nn sijui.
Ana wivu wa kupindukia? Maana namfananisha na aliyewahi kuwa mke wangu!
Na kanisani anaenda sana kusali..na tunaenda wote pia..ila anatukana sana matusi utafikili nn sijui.
akiharibu vitu msinunue tena, atakuwa anajipiga mwenyewe kwenye ukuta
Ana wivu wa kupindukia? Maana namfananisha na aliyewahi kuwa mke wangu!
Pole sana, however I think hauja tupa information zote hapo , Au uwongo?
Mimi navyo tazama hapa kutokana na kauli yako, mke wako hataki kushindwa.
Sa kwanini usiwe unampa tu ushindi, ili asipate ule wendawazimu wa kuvunja vitu :biggrin1:
nakutaniaga mwaego. unajua kuna kitu kinamsukuma kufanya anayofanya, Chris Rock anakichekesho chake kimoja anasema unaeza kuta mke anaanza tu tibwili from nowhere, lakini ishu hasa ni hukua first choice ( dream husband / prince charming) sasa anakua hana pa kuzipeleka ghadhabu, madissapointment na mafrustration zaidi ya kwa mmewe. huenda uko kwene scenario kaa hii.Mmmh hujapata kama huyu. Unaweza kusema hivyo lakini ujue lazima itakukwaza
Mmmmh ina maana uliachana na huyo mkeo alikua mkorofi?
Mkuu hapo atakuwa analea ugonjwa, na asishangae one time mke akaja akademand something very big, si anajua atawin.. Hapo akijifanya kichaa we fit kuwa mfanyakazi wa Mirembe.:bange:
Simama kama kichwa cha nyumba! ikishindikana mpeleke kwa wazazi wake mkaliongelee! mwisho kamfanyie maombi labda pepo!!
Wangu aliaga dunia... ila tabia zake,yaani copyright na za mkeo..
Amenifanya nisitamani ndoa tena..
Wangu alikuwa jeuri hadi haoni kama ana tatizo! Sasa utaanzia wapi kumpeleka..
Na kanisani anaenda sana
kusali..na tunaenda wote pia..ila anatukana sana matusi utafikili nn
sijui.
Wangu aliaga dunia... ila tabia zake,yaani copyright na za mkeo..
Amenifanya nisitamani ndoa tena..