mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 4,287
- 9,162
Kwa muda sasa nimekuwa niki keleka pale wife anapotupia/vaa tisheti zangu
Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu havai anaweka tu kwa begi
Mara nyingi hua namuhoji majibu sipati ya kueleweka na mimi nimemvumilia nimechoka
Kuna muda Natamani hata nichome moto nguo zangu zenyewe nibaki tu na nguo ninazo vaa mwilini
Hata nikiitwa kauka ni kuvae poa tu maana unapita kitaa na tisheti unasikia kavaa la mke wake sasa mambo gani haya
Naombeni kujuzwa hili ni haki mke kuvaa nguo za mpenzi wake
Na je hiyi hali ya mke kupenda kuvaa nguo za mumewe kitaalam linaitwaje?
Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu havai anaweka tu kwa begi
Mara nyingi hua namuhoji majibu sipati ya kueleweka na mimi nimemvumilia nimechoka
Kuna muda Natamani hata nichome moto nguo zangu zenyewe nibaki tu na nguo ninazo vaa mwilini
Hata nikiitwa kauka ni kuvae poa tu maana unapita kitaa na tisheti unasikia kavaa la mke wake sasa mambo gani haya
Naombeni kujuzwa hili ni haki mke kuvaa nguo za mpenzi wake
Na je hiyi hali ya mke kupenda kuvaa nguo za mumewe kitaalam linaitwaje?