Mke kuvaa nguo za mumewe ni sahihi?

Mke kuvaa nguo za mumewe ni sahihi?

Hizo ni dalili za ubinafsi kwa mkeo... Acha ubinafsi mkuu na mpende sana mke wako ila usisahau kutumia akili kuishi nae
 
Mkuu Una bahati kuna wengine size M kwa Xl wanatamani wavaliane ila mission imposible
 
Ni sahihi mkuu kwanza inaonyesha jinsi gani anakukubali na kukupenda so relax mimi wife huwa anavaa sana tu
 
Kwa muda sasa nimekuwa niki keleka pale wife anapotupia/vaa tisheti zangu

Na kuvimba nazo kitaa wakati huo nimemnunulia zake na anazo za kutosha na kila fashion ikitoka namchukulia ila ajabu havai anaweka tu kwa begi

Mara nyingi hua namuhoji majibu sipati ya kueleweka na mimi nimemvumilia nimechoka

Kuna muda Natamani hata nichome moto nguo zangu zenyewe nibaki tu na nguo ninazo vaa mwilini

Hata nikiitwa kauka ni kuvae poa tu maana unapita kitaa na tisheti unasikia kavaa la mke wake sasa mambo gani haya

Naombeni kujuzwa hili ni haki mke kuvaa nguo za mpenzi wake

Na je hiyi hali ya mke kupenda kuvaa nguo za mumewe kitaalam linaitwaje?
Wengine wanavaaa hadi boxer zetu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
We vaa chupi zake kumkomoa. Ila Jf ina wavulana matatizo matupu, kiila kitu mnakileta humu yaan vingine vya kawaidaa, vidogoo lkn utaandika huku. Moja ni kutaka kujionyesha na pili ni Ulimbukeni tu wa hawa wavulana. Sasa kwa Mfano tu hiyo kuvaa nguo zako ina shida gani? Au bas umeshindwa kumkataza kwa upole tu mpaka ulete huku? Sasa haya yanakushinda lipi utaliweza kama baba wa familia?
 
Anza kumnunulia nguo kama zako,yani ukinunua tishet lako,mnunulie na yeye kama hilohilo,ili akivaa la kwako,we unalichukua lile la kwenye begi ambalo linafanana na alilolichukua.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Hivi mnataka mpendweje nyie? Hayo ni mahaba kaka, mkeo anakupenda sana tu! Wenzio wanashea Hadi nguo za ndani sembuse t-shirt! Hiyo ni dalili ya kumchoka mwenzio
 
We vaa chupi zake kumkomoa. Ila Jf ina wavulana matatizo matupu, kiila kitu mnakileta humu yaan vingine vya kawaidaa, vidogoo lkn utaandika huku. Moja ni kutaka kujionyesha na pili ni Ulimbukeni tu wa hawa wavulana. Sasa kwa Mfano tu hiyo kuvaa nguo zako ina shida gani? Au bas umeshindwa kumkataza kwa upole tu mpaka ulete huku? Sasa haya yanakushinda lipi utaliweza kama baba wa familia?
Mama samia kasema tuko huru kuongea na huu ndio uhuru wenyewe

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Hivi mnataka mpendweje nyie? Hayo ni mahaba kaka, mkeo anakupenda sana tu! Wenzio wanashea Hadi nguo za ndani sembuse t-shirt! Hiyo ni dalili ya kumchoka mwenzio
Mkuu kumchoka Sijamchoka ila sasa sipendi kunivalia nguo zangu

Sent from my TECNO-N2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom