MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,758
- 3,950
Eebwana eeh ndoa hizi ni nbaya kweli, huwa nahisi na naamini mapepo yote na majini yasiyo na makazi huwa yanakimbilia kuishi kwemye hizi pete zinazoitwa za ndoa.
Nilifunga ndoa ya kanisani kabisa kanisa la TAG, ila kwa sababu kadhaa ikiwemo maelewano mabovu na mwenzangu ndoa ikawa shimo la mateso kwa kila mmoja.
Tukabahatika kupata mtoto miaka ana miaka 5 sasa ila mwisho wa siku baaada ya taabu na mateso mengi mke akaamua kuondoka, na mimi nikakaza roho sikumfata ni mwaka wa 3 huu.
Sasa majuzi hapa nikasema ngoja nimtafute mwenzangu hatukuwa na mawadiliano ya maana kabla, cha kwanza akajibu vema na kwa adabu za kutosha nikamwambia sasa nadhani kila mmoja ashagundua kila kitu walp tulikuwa tunafeli.
Binafis natamani urudi ila kama utakuwa na mipango mingine huko sio mbaya tukapeana nafasi jumla, na kwa kuwa uliondoka na vyeti vya ndoa kama huna mpango wa kurudi shughulikia suala la taraka au kama huna muda nipatie mimi nishughulikie ili kila mmoja awe huru na kwa amani.
Jibu alilonipa ni kuwa heye kwa sasa hana kumbukumbu zozote kuhusu ndoa alichoma moto kila kitu vyeti na picha, sasa hapo kisheria imekaaje maana nataka kuivunjilia mbali hii ndoa ili nianze upya?
Nilifunga ndoa ya kanisani kabisa kanisa la TAG, ila kwa sababu kadhaa ikiwemo maelewano mabovu na mwenzangu ndoa ikawa shimo la mateso kwa kila mmoja.
Tukabahatika kupata mtoto miaka ana miaka 5 sasa ila mwisho wa siku baaada ya taabu na mateso mengi mke akaamua kuondoka, na mimi nikakaza roho sikumfata ni mwaka wa 3 huu.
Sasa majuzi hapa nikasema ngoja nimtafute mwenzangu hatukuwa na mawadiliano ya maana kabla, cha kwanza akajibu vema na kwa adabu za kutosha nikamwambia sasa nadhani kila mmoja ashagundua kila kitu walp tulikuwa tunafeli.
Binafis natamani urudi ila kama utakuwa na mipango mingine huko sio mbaya tukapeana nafasi jumla, na kwa kuwa uliondoka na vyeti vya ndoa kama huna mpango wa kurudi shughulikia suala la taraka au kama huna muda nipatie mimi nishughulikie ili kila mmoja awe huru na kwa amani.
Jibu alilonipa ni kuwa heye kwa sasa hana kumbukumbu zozote kuhusu ndoa alichoma moto kila kitu vyeti na picha, sasa hapo kisheria imekaaje maana nataka kuivunjilia mbali hii ndoa ili nianze upya?