Ndo maana tunahitaji ushauri wako mdau..anyway nimekusoma..MMh, kusamehe kupo ila ukiangalia madhara unayaona... imagine hiyo mimba isiwe ya mumewe.... Mungu anisaidie hapo mimi ningesamehe kwa condition..... kama mtoto sio wangu Bora ndoa ife ila kama mtoto ni wangu nitazidi kumpenda.
Hapa wadau tusiwe wanafiki katika hili jamaa yuko na wakati mgumu hebu imagine iyo ndio iwe mimba ya kwanza... uuwwiiiii!!!
..... kama mtoto sio wangu Bora ndoa ife ila kama mtoto ni wangu nitazidi kumpenda.
Hapa wadau tusiwe wanafiki katika hili jamaa yuko na wakati mgumu hebu imagine iyo ndio iwe mimba ya kwanza... uuwwiiiii!!!
I repeat again, Waheshimuni wake zenu kwani wana akili nyingi kuliko hata zetu, mwambie atulie kwani alianza yeye, na zaidi sana mama anamzingua ili ampime msimamo wake. nawakilisha.
WanaJF kama kawaida hii ndio kona yetu ya kubadilishana mawazo. Leo kuna jamaa yangu yamemkuta makubwa..Ni hivi: Anaye mke wake mjamzito wameishi pamoja sasa karibu miaka mitano.Mwanzoni mwa ndoa yao kiukweli jamaa yangu alikuwa hajatulia, waliendelea kuzinguana hivyo mpaka juzi kati nadhani mwezi wa nne ambapo jamaa yangu aliamua ku'confess' mabaya yote ambayo aliyafanya na kwa kweli bila kutegemea mke wake alimsamehe na kumuahidi upendo ilimradi tu yasijitokezee tena.Na jamaa yangu alimuombia mkewe ku'confess' kama alishawahi kumtenda..lahaulah..lakwata hapo ndo jamaa kabaki hoi bin taaban. Yaan mke wake huku akilia alimuambia kuwa ..aliamua kutembea na jamaa yake wa zamani baada ya kuona mshkaj anamzingua na hana uhakika kama hata hiyo mimba kama ni yake maana aki-backdate tarehe zinagongana na zile alizodate na Jamaa wa nje??..Amemuomba mume wake wasameheane waendelee kama kawaida..kwamba mbona yy kamsamehe..mshkaj kamuambia subiri....
jamaa kaja kuniomba ushauri..na mimi naomba kuwashirikisha wanaJF tumshaurije huyu mkuu??
Kwakweli mume ndio aloanza ufuska wake na amempa mkewe mwanya yakufanya alio yafanya japo kua mke vilevile anamakosa,chamsingi wasamehe yane kwani hakuna binadamu asie tenda makosa,ukizingatia kuna kiumbe wanakitarajia,lakini huyo mwanamke angekua mie hata unishikie Kisu nakwambia mumewangu kama unaniua niue tu lakini sijafanya,hajui kama wanaume wanataka wafanye wao2 wakifanyiwa wanaweza hata kukutoa roho,eti Confess! loh unanini bibi uso ka kimnya.
WanaJF kama kawaida hii ndio kona yetu ya kubadilishana mawazo. Leo kuna jamaa yangu yamemkuta makubwa..Ni hivi: Anaye mke wake mjamzito wameishi pamoja sasa karibu miaka mitano.Mwanzoni mwa ndoa yao kiukweli jamaa yangu alikuwa hajatulia, waliendelea kuzinguana hivyo mpaka juzi kati nadhani mwezi wa nne ambapo jamaa yangu aliamua ku'confess' mabaya yote ambayo aliyafanya na kwa kweli bila kutegemea mke wake alimsamehe na kumuahidi upendo ilimradi tu yasijitokezee tena.Na jamaa yangu alimuombia mkewe ku'confess' kama alishawahi kumtenda..lahaulah..lakwata hapo ndo jamaa kabaki hoi bin taaban. Yaan mke wake huku akilia alimuambia kuwa ..aliamua kutembea na jamaa yake wa zamani baada ya kuona mshkaj anamzingua na hana uhakika kama hata hiyo mimba kama ni yake maana aki-backdate tarehe zinagongana na zile alizodate na Jamaa wa nje??..Amemuomba mume wake wasameheane waendelee kama kawaida..kwamba mbona yy kamsamehe..mshkaj kamuambia subiri....
jamaa kaja kuniomba ushauri..na mimi naomba kuwashirikisha wanaJF tumshaurije huyu mkuu??
Asa Mandenyi wangu mbona hujatuambia kuwa hii quotation umeitoa katika kitabu ganni? au tuiite Mamndenyi 1:1-2??
Hii issue ni ya moto....ni rahisi kudai kuwa jamaa atulie kwa sababu ni yeye alianza.....Wewe mwanaume mwenzangu fumba macho ligeuzie kwako then uone utamu wake!!
Ni kweli jamaa alianza lakini hajatuambia kuwa alileta mtoto huko. Pengine alikuwa akitumia kinga na hivyo kujikinga pia na UKIMWI. Huyu mama anawasiwasi kuwa mimba ni ya jamaa yake wa zamani kwahiyo alipiga kavu kavu (hawakutumia kinga). Hii nayo ni issue kwani mbali na mimba huenda akrudi pia humo na UKIMWI.
Nashauri wakapime ngoma then mtoto akizaliwa wapime DNA.
Nawasilisha!
Hao wote wanafaana. Mwanaume hovyo na mwanamke naye kaoza.
They are a perfect match/ fit for each other.
And, can you love a person and still cheat on them?
Wanaocheat ni wale wanaopendwa sana, huwezi kupenda kwa dhati ukamcheat mwenzio, ni kama kuchanganya maji na mafuta
And, can you love a person and still cheat on them?
Mkuu mbona that's obvious.., ukimpenda mtu ndio hautapenda kumuumiza
(lakini cheaters cheat because of tamaa na inability to control their urges, they cheat with someone not because they love them, but just because they wanna have some good time, and in cheating they dont intend to get caught hence hurting their loved one )
To answer your question Yes you can love someone and still cheat on them..., people eating oranges does not mean mangoes is still their favorite and the best fruit which they can live without (its just human weakness to want everything even the ones they dont love)
Mkuu maybe intentionally au unintentionally umeamua kutokuelewa what I said...Go back to your own words in red. Umesema "ukimpenda mtu ndio hautapenda kumuumiza" Sasa kama cheating inaumiza na wewe unasema hivyo kwa nini mtu acheat sasa wakati unajua itamuumiza mwenzio?