Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,049
Kuna watu ukisikia wameua unaweza kudhani wana roho mbaya sana kumbe ni situation imetokea tu. Leo nilikuwa nachat na jamaa yangu, katika mazungumzo nikamuuliza hivi flani yuko wapi nina muda mrefu sijawasiliana naye kama miaka mitatu hivi. Jamaa akanijibu hata hajulikani alipo kakimbia mwezi uliopita anafutwa kwa kesi ya utapeli.
Eti jamaa alikuwa na mahusiano na mke wa mtu ambaye mume wake alikuwa ng'ambo. Basi sijui mdada penzi likakolea, jamaa akamshawishi aweke nyumba ya mumewe benki wachukue mkopo. Na mwanamke akafanya hivyo, pesa akampa jamaa. Jamaa akanunua usafiri wa maana na kutumbua. Jamaa anapata taarifa karejea anamsaka jamaa. Jamaa kusikia kaacha kazi na alikuwa anafanya kazi nzuri tu kakimbia.
Nikawaza, ningekuwa mimi huenda hata unaweza kujikuta unaua mtu. Yani niko nje huko nina hustle, wewe unagongwa halafu na nyumba yangu unahonga. Wallah naweza kukupiga risasi.
Wanawake tuoneane huruma jamani unaweza kumuofosaro mtu hivi hivi.
Eti jamaa alikuwa na mahusiano na mke wa mtu ambaye mume wake alikuwa ng'ambo. Basi sijui mdada penzi likakolea, jamaa akamshawishi aweke nyumba ya mumewe benki wachukue mkopo. Na mwanamke akafanya hivyo, pesa akampa jamaa. Jamaa akanunua usafiri wa maana na kutumbua. Jamaa anapata taarifa karejea anamsaka jamaa. Jamaa kusikia kaacha kazi na alikuwa anafanya kazi nzuri tu kakimbia.
Nikawaza, ningekuwa mimi huenda hata unaweza kujikuta unaua mtu. Yani niko nje huko nina hustle, wewe unagongwa halafu na nyumba yangu unahonga. Wallah naweza kukupiga risasi.
Wanawake tuoneane huruma jamani unaweza kumuofosaro mtu hivi hivi.