hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
AiseeUzuri mwanaume kala pesa ya mwanaume mwenzie
AiseeUzuri mwanaume kala pesa ya mwanaume mwenzie
KifoJamaa nae kakimbia nini wakati hana kosa.
Chukua 0659ACHA90 ya mwanamkeDUU! Naomba namba yake plse
Mixer kutumia ice cubes kwenye maeneo ya uti wa mgongoAtakuwa yule jamaa mwenye tabia ya kumwaga asali kwenye apple na kuanza kuilamba taratiibu kabla hajaimaliza utakuta mtu anatetemeka mwili mzima kabla kuweka dip stick ni sababu mojawapo ya Nyumba kuwekwa bondi.
Mzee ye kukimbia sio fala unajua umepga mzigo Tena Nyumba ya jamaa watu hawaeleweki angeweza kuolewa kabsa watu wamechafukwa roho jumla jamaa anavopambana njee alafu uje uchukulie mkopo Nyumba yake hata Mimi nakuoa walahHapa kidogo yawezekana ila sio kirahisi vile maana ni mchakato mrefu kuanzia hati yenyewe na vitambulisho. Huwa bank wanafanya mpaka uthibitisho ni kamchakato labda iwe wamecolude na ofsa mikopo!
Bwanshee mbona un wivu! Ushamba upi hapo tena?Chukua 0659ACHA90 ya mwanamke
078USHAMBA14 ya jamaa aliyekimbia .
Kwani si mlishaambiwa MSIOE?Kuna watu ukisikia wameua unaweza kudhani wana roho mbaya sana kumbe ni situation imetokea tu. Leo nilikuwa nachat na jamaa yangu, katika mazungumzo nikamuuliza hivi flani yuko wapi nina muda mrefu sijawasiliana naye kama miaka mitatu hivi. Jamaa akanijibu hata hajulikani alipo kakimbia mwezi uliopita anafutwa kwa kesi ya utapeli.
Eti jamaa alikuwa na mahusiano na mke wa mtu ambaye mume wake alikuwa ng'ambo. Basi sijui mdada penzi likakolea, jamaa akamshawishi aweke nyumba ya mumewe benki wachukue mkopo. Na mwanamke akafanya hivyo, pesa akampa jamaa. Jamaa akanunua usafiri wa maana na kutumbua. Jamaa anapata taarifa karejea anamsaka jamaa. Jamaa kusikia kaacha kazi na alikuwa anafanya kazi nzuri tu kakimbia.
Nikawaza, ningekuwa mimi huenda hata unaweza kujikuta unaua mtu. Yani niko nje huko nina hustle, wewe unagongwa halafu na nyumba yangu unahonga. Wallah naweza kukupiga risasi.
Wanawake tuoneane huruma jamani unaweza kumuofosaro mtu hivi hivi.