muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 13,446
- 9,989
....Huyo kuna mengi pia amekuficha siyo nyumba tu...
Aisee na hiz case ni nyingiiiii, duuh watoto wanateseka tuNdo ivo,hakuna namna.Ila kuna uncle wangu kapata nyumba ya buree...kutokana na mjeshi kumficha mkewe Mali zake na kumthamini rafiki yake.Kafa na kende zake mke hajui kama mume alikuwa na jumba huko.
Hahahaha sasa watoto zako watazipataje bila mama yao kujua? Mama kujua ina maana watoto pia watajua, watoto kujua ina maana pia mama lazima ajue....! Ukiamua kumficha mama ina maana na watoto umewaficha
Athari ya kufanya maendeleo ya siri ni kuwa unaweza ukatangulia kufa mali zikapotea