Mke atoa mimba

Mke atoa mimba

Kulea mchezo? Kapiga hesabu mtoto ana miaka 2 alee mimba nyingine miezi 9 ajifungue aendelee kulea watoto wawili aaah we akajiongeza😀😀😀😀
Nb: kutoa mimba Ni uuaji na haikubariki mchawi magome ya Mzungu tu!
 
Ulivyo muuliza yeye kakujibuje??

Every thing happen for a reason.

Muulize Kwanza, ujue sababu ni nini kisha ulete merejesho.

Btw kulipa mahari, hakuhalalishi ndoa. Ndoa ni either mfunge kanisani, msikitini au kimila.
Ila mkienda mahakamani kudai mali mnabadilika, mnasema alikuwa ni mke maana umeishi nae, hivyo ndoa ya kanisani, msikitini au kimila sio lazima ili awe mke..
 
Kafanya makosa makubwa sana,

Ila na wewe jiulize ni wapi unapungua bro. Labda kaona haueleweki unamzalisha tu ndoa hutaki kufunga. Au matumizi ni changamoto hata kwa huyo kijana ambaye tayari umezaa.

Hakuna mwanamke anapenda KUUA, ila kuna jambo serious liko nyuma yake. Litafute hilo
Nachojua kila kitu anapata
 
Kulea mchezo? Kapiga hesabu mtoto ana miaka 2 alee mimba nyingine miezi 9 ajifungue aendelee kulea watoto wawili aaah we akajiongeza😀😀😀😀
Nb: kutoa mimba Ni uuaji na haikubariki mchawi magome ya Mzungu tu!
Sasa weqe ndio umeongea hesabu zenu ndio zinaendag ivyo
 
Hamjafika kanisani kufungishwa ndoa then unasema mke halali? Nani kahalalisha?
Ishi ukiwa huru na sio Kwa Sheria za kutungwa na binadamu!kwanini ufinyangwe!!?

Ndoa za kimila,dini, serikali ni ukoloni wa kifikra TU huo!!

We amua unavyoishi au wewe ndio wale mnafunga ndoa kwa hofu eti akifa ndugu sake watakugomea kuzika maiti yake!!?

Au ndio wale mnaodanganywa eti "unakosa haki za msingi kama huna cheti Cha ndoa"Mwanamme ana haki gani kwenye huu ulimwengu wakati hasta Sheria zinampora Mali na kumpa mwanamke ambae hajazitafuta!!?

We huoni america na kwa wazungu wenzio wanavyolia kisa walifuata Sheria za ndoa na mahakama!!?

Ishi ukiwa huru kama mnyama wa kawaida!!
 
Vipi swala la ndoa mkuu? Unajua kuna hata wazazi wanawaambia watoto wao "usiongeze mtoto mpaka mfunge ndoa"? Hofu ya u single mother ni kubwa sana mtaani
Huyo single mothers maskini ila hawa wenye kazi zao ,wanataka watoto.

Kuna mdada mmoja yalimkuta alizaa na jamaa then jamaa hakufunga naye ndoa ,ila demu akaendelea kumshobokea jamaa basi jamii ilikuwa baada ya miaka 4 akampiga tena mimba ...Mwanamke akaichomoa tena tumbo lilikuwa kubwa ,sijui alisemwa alipotea ofisini kama miezi 3 alikuwa anauguza ila alipona.
 
Hell

Hivi unaweza vumilia hili suala ni mke wako kisheria umetoa mahali bado ndoa ya kanisani tu ila kisheria ni mkeo mna mtoto mmoja baada ya miaka miwili mkeo anapata mimba na wewe unajua maana amekufahamisha then gafla tu anaumwa kumpeleka hospital Dr anakwmbia alikunywa dawa za kutoa mimba bila shaka unaweza kuendelea nae?

Maswali yanakuja kwanini atoe mimba?
Ma Mshuza NJOO UTOE USHAURI HUKU
 
Hell

Hivi unaweza vumilia hili suala ni mke wako kisheria umetoa mahali bado ndoa ya kanisani tu ila kisheria ni mkeo mna mtoto mmoja baada ya miaka miwili mkeo anapata mimba na wewe unajua maana amekufahamisha then gafla tu anaumwa kumpeleka hospital Dr anakwmbia alikunywa dawa za kutoa mimba bila shaka unaweza kuendelea nae?

Maswali yanakuja kwanini atoe mimba?
Haikuwa yako
 
Back
Top Bottom