Mke atoa mimba

Mke atoa mimba

Mkuu, kabla ya kuongea jichunguze uchumi wako upoje? Mke anaweza kuwa kajua hapa hutoboi halafu akujazie watoto?

Pia huyo dr ni Muongo, kama mtu kanywa hizo dawa hakuna mbinu mtu mwingine anaweza jua, unless mgonjwa awe amesema which is less likely
 
Kwanza, sina uhakika kama ni kweli maana we mpishi kutupikia chai ni kitu simple.
🙂

Pili, tatizo nduguyetu Mwachiluwi unampikia sana huyo bibie, mara kisamvu cha yogurt, mara njegere za nazi, mara juisi ya mahindi. Mimba kutoka ni kugusa.
🙂

Enewei, pole kijana mwanamke akifanya abortion tena wakati wewe umeshaikubali mimba ujue hapo huna chako mnasogeza tu siku.
🙂

Hayana muongozo ila kwa hili. Duh!!!
 
Hell

Hivi unaweza vumilia hili suala ni mke wako kisheria umetoa mahali bado ndoa ya kanisani tu ila kisheria ni mkeo mna mtoto mmoja baada ya miaka miwili mkeo anapata mimba na wewe unajua maana amekufahamisha then gafla tu anaumwa kumpeleka hospital Dr anakwmbia alikunywa dawa za kutoa mimba bila shaka unaweza kuendelea nae?

Maswali yanakuja kwanini atoe mimba?
Huyo Ana busara Sana, badala ya kukubambikia mtoto kaamua kukwambia siyo yako kwa vitendo.
Shukuru Sana kwa Hilo na pima hao wengine.
 
Mkuu, kabla ya kuongea jichunguze uchumi wako upoje? Mke anaweza kuwa kajua hapa hutoboi halafu akujazie watoto?

Pia huyo dr ni Muongo, kama mtu kanywa hizo dawa hakuna mbinu mtu mwingine anaweza jua, unless mgonjwa awe amesema which is less likely
Kwahy kuna uwalakini?
 
Kwanza, sina uhakika kama ni kweli maana we mpishi kutupikia chai ni kitu simple 🙂

Pili, tatizo nduguyetu Mwachiluwi unampikia sana huyo bibie, mara kisamvu cha yogurt, mara njegere za nazi, mara juisi ya mahindi. Mimba kutoka ni kugusa 🙂

Enewei, pole kijana mwanamke akifanya abortion tena wakati wewe umeshaikubali mimba ujue hapo huna chako mnasogeza tu siku 🙂

Hayana muongozo ila kwa hili, duh!!!
Dah noma sana
 
Kafanya makosa makubwa sana,

Ila na wewe jiulize ni wapi unapungua bro. Labda kaona haueleweki unamzalisha tu ndoa hutaki kufunga. Au matumizi ni changamoto hata kwa huyo kijana ambaye tayari umezaa.

Hakuna mwanamke anapenda KUUA, ila kuna jambo serious liko nyuma yake. Litafute hilo
 
Back
Top Bottom