BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,217
ndio mnalishwa.....hata kwa mama ntilie mnalishwa.....
Hizo ndumba ziki-expire, mwanaume akizinduka hali huwa inakuwa mbaya sana kwa mwanamke mhusika. Wengi ndoa zao huishia kuvunjikajibu ni kusubiria siku aumbuke mwenyewe
mwanangu hii nilisikiaga kwa wajita na wakerewe kama mpo naomba mtujuzeni ata mimi huwa nasikia wanasema, kwa wahaya wanakitu moja inaitwa NKULATA(nifuate) na NSHUNTAMA(kaa chini) nasikia ukitia tu mguu umeliwa ndugu zako watakuwa wanaona manyoa tu!!
Hapo umesema ndugu yangu kwa kuwa imeandikwa ufanikiwe kama moyo wako ufanikiwavyo na hii ndiyo siri kwanini wema na wabaya wote wakiomba hufanikiwa bila kujalisha anayeombwa ni mungu yupi hata mungu jua huleta majibu unayoyahitaji kulingana na moyo wako ulivyopinda; vimbwanga na vibweka vya waganga ni mchakato tu wa kuupindisha moyo wako ufikie kiasi cha imani kinachohitajika ili kuachilia kile moyo wako unachotamani kukifanikisha. Hata kama hiyo nyama ingechimbiwa kaburini halafu ndipo ikakaangwa ingeleta matokeo yaleyale ili mradi muhusika ameamini hadi kufikia kiasi cha imani husika kumpatia sumaku ya kutosha kuvuta anachokitaka.Utashauri wangapi?
ushirikina ni wide spread culture Tanzania
hata wewe yawezekana ulishalishwa uchafu tele ila hujui
unajua hata mama ntilie na wenye restaurant wanawalisha wateja uchafu huo huo ili wadhibiti soko?
go figure now
Eti nini???ndio mnalishwa.....hata kwa mama ntilie mnalishwa.....
haya mambo yapo mpaka nigeria na wao wanatumia huo mchezo,saa nyengine maji yanachambiwa ndani ya sufuria,hayamwagwi halafu yanapikiwa.isije ikawa jamaa ana mapenzi na mkewe kwa sababu ya upishi wa biriani.maana kama jamaa anapenda kula kula,na biriani linatakiwa ujuzi,mke analipatia na sio mavitu anayojiwekea mke,yanamfanya bwana awe na mapenzi na mke wake
Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.
Ati maji yanafanywa nini? Ndiyo maana sipendi kula kwa watu. That is beyond nasty. Just reading it I feel like I'm gonna puke.
mbona mama ntilie ndo zao bongo?
Nilishagaacha kula kwa mama ntilie miaka ya 90 huko. Na sasa itabidi nipunguze kula kwa watu maana hizi simulizi tunazozisikia kwa kweli ni inconceivable.
Mpaka sasa sijui hata nimeshalishwa madudu gani lol. But thankfully I'm still alive and free of any diseases that I'm aware of, but man....some people are nasty.
Wewe swahiba vipi....ni regular kwa mama ntilie?
Nilishagaacha kula kwa mama ntilie miaka ya 90 huko. Na sasa itabidi nipunguze kula kwa watu maana hizi simulizi tunazozisikia kwa kweli ni inconceivable.
Mpaka sasa sijui hata nimeshalishwa madudu gani lol. But thankfully I'm still alive and free of any diseases that I'm aware of, but man....some people are nasty.
Wewe swahiba vipi....ni regular kwa mama ntilie?
ukame na kutokujiamini vyote vyaweza kuwa ni tatizo; kwa mtu mwenye imani za kishirikina ndumba kwake yaweza kuwa ndio mwisho wa tatizo lake bt kwamtu ambaye hana imani hiyo hatoweza kufanya huo ujinga.
Wasichana wa mujini wanaloga kama nini, tena wazuri na pesa wanazo.
Sijui wanataka nini
No wonder na prefer chips
sababu zinakaangwa unaziona
ushirikina ulivyo wide spread Tz unaweza kukuta haya yapo hata kwenye restaurant unazoweza ziamini...
ni tatizo kubwa Tz...
haya vyakula vya kwenye misiba au harusi
watu hufanya sana haya mambo....