Mke anatambia ndumba za ukeni!

Mke anatambia ndumba za ukeni!

Nahisi MAMA NGINA ashaniwekea hiyo makitu aisee, mbona sifurukuti jamani......!!!!
Ngoja nifuatilie huu uzi huenda nikapata tiba hapa...
wala usijiusumbue, ulipo koswa koswa ununio ndio ume save
 
aisee mbona wanatulisha uchafu? lakini na wanaume mtulie na wake wenu. hayo yote ni kudhibiti mme asitoke nje ya ndoa. mtakoma.
 
Wanakulana uchafu wao wenyewe.KWANI MWANAUME HAWEKI UCHAFU WAKE KWA MKEWE? SI HUO HUO UCHAFU ANA UTOA THEN ANAUPIKIA KWENYE MBOGA THEN WANAKULA WOTE? HUYO NI MZURI MAANA ANALINDA MALI YAKE ISIIBIWE NA MIJIMAMA MINGINE.
 
La ajabu huyu mtu ni mama wa kanisani tena anapewa heshima kubwa kwa michango isiyo na ukomo. hata eneo la kumzika kanisani atakapokufa tayari limekwisha kutengwa...........................nasikia kichefuchefu kuongelea idol worshiping.

haaaaaaaa umenichekesha sn jamaa
 
Taarifa nilizopewa ni kuwa chakula kinapokuwa kimeiva ndiyo hii kitu mama anakwenda msalani kuitoa khalafu anaikorogea chakula ambacho ndicho kinapakuliwa kwahiyo siyo wakati kinapikwa. Eti kikipikwa na chakula dawa haina nguvu. yaani mzee lazima alambishwe uchafu. Sina uhakika kama nayo ni chumvi! Hata kuongelea najisikia vibaya.

Kama hicho kilimbwata kinawekwa baada ya chakula kuiva ina maana mama anaweka hicho kilimbwata kwenye papuchi baada ya kukichemsha au kutokana na joto la mule kinatoka kikiwa kimeshaiva! hihihihihiiiiii. Ila kwa hali ya kawaida kinatakiwa kitoke kikiwa kimeoza maana siku 3 kwenye lile joto na unyevunyevy si nchezo.
 
She is bright. Anamkaangia kuku wa kienyeji kwanini asimpende. Kama ni ndumba kwanini asiweke kwenye matembele ya chunvi tu huone kama itafanya kazi. Ni saikolojia tu anacheza nayo. Waganga wanakili sana kucheza na wajinga
 
Mh mungu wape adhabu kali wake wanaowalisha wenzao uchafu. Na mungu wape pia adhabu wanaume wanaopenda michepuko.
 
duuh, ndo maana mimi huwa sinunui chakula kwa mama mtilie/migahawni..kama nahitaji kula chakula naenda sehemu nayojua inakidhi viwango navotaka
Utashauri wangapi?
ushirikina ni wide spread culture Tanzania
hata wewe yawezekana ulishalishwa uchafu tele ila hujui
unajua hata mama ntilie na wenye restaurant wanawalisha wateja uchafu huo huo ili wadhibiti soko?
go figure now
 
Back
Top Bottom