Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,508
- 911,249
- Thread starter
- #61
Nilishagaacha kula kwa mama ntilie miaka ya 90 huko. Na sasa itabidi nipunguze kula kwa watu maana hizi simulizi tunazozisikia kwa kweli ni inconceivable.
Mpaka sasa sijui hata nimeshalishwa madudu gani lol. But thankfully I'm still alive and free of any diseases that I'm aware of, but man....some people are nasty.
Wewe swahiba vipi....ni regular kwa mama ntilie?
"inconceivable" au "conceivable"? Kama ni "inconceivable" basi endelea na mama ntilie wako ujinome vinono vyao maana hakuna hizi shari!