Mke anatambia ndumba za ukeni!

Mke anatambia ndumba za ukeni!

Kwa vyovyote huo uke utakuwa na ukubwa wa mfuko wa Rambo!

Hii nilisikia zamani kiasi kuwa wanachukua ki-dagaa wanakichungulisha mule ndani halafu wanakukaangia pamoja na dagaa wengine.
Hii ni kabla ya Wabongo hawajaanza mambo ya kwenda chumvini, nadhani siku hizi hawana haja ya kutumia hizi dawa.
 
Jamani WANAUME mnalishwa uchafu bila kujijua.. Poleni sana. Itabidi sasa muwe mnaonyesha malavidavi muda wote kwa mkeo kuepuka ndumba coz hao hawawez kufanya hivyo bila sababu, may be mwanaume alikuwa kicheche au amepunguza mapenzi kwa mke (but sio wote wanatumia hiyo sababu wengine basi tu ili wawatawale waume zao wawafanye mazoba tu) hii kitu haipendez kabisa kumbuka kuwa mapenzi hayana dawa, dawa ni wewe mwenyewe theway utakavyo muhandle mume/mke.
 
Huwezi ita uchafu per se kwani:-
1: hujui kwa hakika kama mumewe anapaona ukeni kwa mkewe kama ni pachafu (huenda ana m-lick huko).
2: nyama ikishapikwa tayari germs zinakufa, so bado ni salama kwa matumizi ya binadamu.

Hoja ingekuwa juu ya ushirikina, maana hizo instruction uwezekano mkubwa zimetoka kwa mganga wa kienyeji so rituals zahusika hapo.
 
Yaani baada ya kusoma hii nilikuwa nakula vitu hapa nimevitapika vyote! Naona kama vina ndumba hivi! Tabia za kulakula bila mpangilio wakati mwingine zinatufanya tumeze vitu ambavyo hata hatuvijui au kuviagiza tulishwe navyo. Kisa kuchochea biashara
Kinachonitisha zaidi ya huo uchafu, ni ibada zinazoambatana na hizo Imani. Tunaambiwaje, tu kila kilichotolewa sadaka tunakuwa tumefungamana na huyo aliyetolewa sadaka. It is scary!
 
Hii nilisikia zamani kiasi kuwa wanachukua ki-dagaa wanakichungulisha mule ndani halafu wanakukaangia pamoja na dagaa wengine.
Hii ni kabla ya Wabongo hawajaanza mambo ya kwenda chumvini, nadhani siku hizi hawana haja ya kutumia hizi dawa.

Ha ha. Siku hizi wanaume wanakula limbwata wenyewe.
 
Kinachonitisha zaidi ya huo uchafu, ni ibada zinazoambatana na hizo Imani. Tunaambiwaje, tu kila kilichotolewa sadaka tunakuwa tumefungamana na huyo aliyetolewa sadaka. It is scary!

La ajabu huyu mtu ni mama wa kanisani tena anapewa heshima kubwa kwa michango isiyo na ukomo. hata eneo la kumzika kanisani atakapokufa tayari limekwisha kutengwa...........................nasikia kichefuchefu kuongelea idol worshiping.
 
Ahhh jamani!!! Me sioni kama anakula uchafu ikiwa chumvini anaenda kila anapomgegeda huyo mkewe. Tatizo la hapo ni hiyo issue ya kumloga tu. Ndumba noooma yani dem hajiamini mpaka akaloge. Lol.
 
Jamani WANAUME mnalishwa uchafu bila kujijua.. Poleni sana. Itabidi sasa muwe mnaonyesha malavidavi muda wote kwa mkeo kuepuka ndumba coz hao hawawez kufanya hivyo bila sababu, may be mwanaume alikuwa kicheche au amepunguza mapenzi kwa mke (but sio wote wanatumia hiyo sababu wengine basi tu ili wawatawale waume zao wawafanye mazoba tu) hii kitu haipendez kabisa kumbuka kuwa mapenzi hayana dawa, dawa ni wewe mwenyewe theway utakavyo muhandle mume/mke.

tatizo ni ukame wa malavidavi au mama hajiamini? Na nduma sasa zimekuwa msumari wake wa mwisho?
 
Huwezi ita uchafu per se kwani:-
1: hujui kwa hakika kama mumewe anapaona ukeni kwa mkewe kama ni pachafu (huenda ana m-lick huko).
2: nyama ikishapikwa tayari germs zinakufa, so bado ni salama kwa matumizi ya binadamu.

Hoja ingekuwa juu ya ushirikina, maana hizo instruction uwezekano mkubwa zimetoka kwa mganga wa kienyeji so rituals zahusika hapo.

Taarifa nilizopewa ni kuwa chakula kinapokuwa kimeiva ndiyo hii kitu mama anakwenda msalani kuitoa khalafu anaikorogea chakula ambacho ndicho kinapakuliwa kwahiyo siyo wakati kinapikwa. Eti kikipikwa na chakula dawa haina nguvu. yaani mzee lazima alambishwe uchafu. Sina uhakika kama nayo ni chumvi! Hata kuongelea najisikia vibaya.
 
Ahhh jamani!!! Me sioni kama anakula uchafu ikiwa chumvini anaenda kila anapomgegeda huyo mkewe. Tatizo la hapo ni hiyo issue ya kumloga tu. Ndumba noooma yani dem hajiamini mpaka akaloge. Lol.

Siyo kila mtu huenda chumvini ndipo ujue hilo kwanza kama huwa haendobasi analishw auchafu na hatujui nyama iliyokaa ukenii siku tatu ina khali gani kiafya!
 
Ha ha. Siku hizi wanaume wanakula limbwata wenyewe.

unachekelea badala ya kulia na kusikitika? Usichojua ni kuwa ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji.
 
Kuna mawili hapa....ukisema unaweza ukaharibu kila kitu....pia unaweza kumuacha baadae akaja kukulaumu sana! jaribu kuangalia muelekeo anaweza mwagiwa mambo huyo mpaka akawa chizi na future yake ikaushia hapo,
 
Aiseee wanawake wengine wanavimbwanga sana! Daaa kweli kujiamini ni kipaji! Alaf hizi dawa hazidumu maana zingekuwa zinafanya kazi vilivyo wasingekuwa wanalia kuibiwa kila leo! Daaah
 
Mambo ya ngoswe muachie Ngoswe yatakushinda kaka usije onekana unampango wa kuharibu ndoa yao labda kama angeomba ushauri mhusika,otherwise wanaumme muendelee kuwapenda wake zenu msije sema ndo maana mnajisikia kuwapenda kumbe wana walisha naniiiii.
 
haya mambo yapo mpaka nigeria na wao wanatumia huo mchezo,saa nyengine maji yanachambiwa ndani ya sufuria,hayamwagwi halafu yanapikiwa.isije ikawa jamaa ana mapenzi na mkewe kwa sababu ya upishi wa biriani.maana kama jamaa anapenda kula kula,na biriani linatakiwa ujuzi,mke analipatia na sio mavitu anayojiwekea mke,yanamfanya bwana awe na mapenzi na mke wake
 
tatizo ni ukame wa malavidavi au mama hajiamini? Na nduma sasa zimekuwa msumari wake wa mwisho?

ukame na kutokujiamini vyote vyaweza kuwa ni tatizo; kwa mtu mwenye imani za kishirikina ndumba kwake yaweza kuwa ndio mwisho wa tatizo lake bt kwamtu ambaye hana imani hiyo hatoweza kufanya huo ujinga.
 
Dah, hii mambo bana, pasua kichwa sana. Ibilisi hakupi upenyo wa kupumua.
 
Back
Top Bottom