Mke anatambia ndumba za ukeni!

Mke anatambia ndumba za ukeni!

wANAWAKE WA SIKONGE MPOO! MBONA HAMCHANGII MADA, KWELI KABISA MLETA MADA HII TABIA WANAYO SANA wanyamwezi, HAWA WATU HAWAFAI KABISA NI WAPOLE KWA NJE ILA NI HATARI SANA.
 
Watu wale sushi, Ikisha samaki huyo huyo wakipikiwa chukuchuku iwe mwao!
Nashangaa G! mi naona ni suala la pronunciation tu (Tomato na Tometo).
Eti kabichi kwa kachumbari mwake!! ikipikwa balaa! jamani.
 
Nahisi MAMA NGINA ashaniwekea hiyo makitu aisee, mbona sifurukuti jamani......!!!!
Ngoja nifuatilie huu uzi huenda nikapata tiba hapa...
 
Hv mtu akienda chumvini anatakiwa ameze au ateme?

Automatically huwa wanameza. In real sense binadamu huwa anameza mate kila baada ya sekunde kadhaa, kwa maana hiyo huwa wanameza mate wakati wa zoezi hilo, unless wanaingiaga na kopo la kutemea mate wakati wa zoezi hilo.
 
Jana jioni nimeipata hii: mke wa jirani ametonya rafiki yake wa karibu sana kuhusiana na siri ya kumtia kitanzini mumewe kuwa ni ndumba ambazo zimejaa kwenye kabati na ya kuwa kamwe hawezi kufurukuta.

Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.

Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huitikia tu kama
"ana akili ndogo vile" na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!

Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.


Nishaurini hapa

Na bado kwa akili kama hizi mtauza kila kitu kwa Wachina, mpaka shahaw.a maanake ndio kitu pekee kilichobakia chetu, na sijui kama watazikubali kwa maana zina mavirusi!
 
hata usijarib kila utakachomwambia jamaa lazima kifike kwa mkewe, hivyo ndo limbwata lilivyo ukithubutu tu hukawii kuonekana mmbea na mtaa mzima utajua we mmbea

Hata mimi nimeona bora nikae mbali na mambo yao. Njemba seems happy so who am I to take happiness out of him?
 
Na bado kwa akili kama hizi mtauza kila kitu kwa Wachina, mpaka shahaw.a maanake ndio kitu pekee kilichobakia chetu, na sijui kama watazikubali kwa maana zina mavirusi!

Nionavyo inabidi tujirekebishe tu hakuna jinsi au tutabakia kimaendeleo tuko nyuma kabisa. Tuache ushirikina na ndipo tutaanza kuishi mustarehe.
 
Nahisi MAMA NGINA ashaniwekea hiyo makitu aisee, mbona sifurukuti jamani......!!!!
Ngoja nifuatilie huu uzi huenda nikapata tiba hapa...

Hakuna tiba hapo ni kuwa kakushika kwa tabia yake murua tu nawe umeridhika. Ukimtilia wasiwasi mambo yataharibika.
 
hehehe ,anapewa limbwata? ,h ,ila sometime binaadamu tu sisi na fitna zetu ,pengine mapenz tu na mwadada anajua kupika wao wanahisi anapewa limbwata
 
ofcz ruta yaan stayaway from somebody happiness cos hujui walimwengu lengo lao, pengine wivu huo na choyo anamuona mwenzake anavyopewa malavi davi wao yana wauma ..
 
Mkuu huna namna yoyote ya kuthibitisha hii kauli ya "Mke wa jirani" kama ina ukweli wowote. Hivyo ni bora kucheza mbali na ndoa ya watu badala ya kutaka kuingiza maneno ambayo yanaweza kabisa kusambaratisha ndoa ya jamaa yako na mkewe. Ni ushauri tu Mkuu Rutashubanyuma.

Jana jioni nimeipata hii: mke wa jirani ametonya rafiki yake wa karibu sana kuhusiana na siri ya kumtia kitanzini mumewe kuwa ni ndumba ambazo zimejaa kwenye kabati na ya kuwa kamwe hawezi kufurukuta.

Aliyenitonya ananisihi nimtonye jamaa yangu kuwa analishwa uchafu. tatizo kwangu ni kuwa nikifanza hivyo hiyo ndoa itasarambatika lakini pia sipendi aendelee kulishwa uchafu utakao ukeni kwa mke wake.

Yaani eti baadhi ya ndumba huwa mtuhumiwa huzifutika ukeni kwa siku tatu baada ya mumewe kumdu khalafu huzitoa na kumkaangia kuku wa kienyeji na biriani. Jamaa hula huku akisifia mapishi na chochote mkewe anachomwambia huitikia tu kama
"ana akili ndogo vile" na kudai hakuna mwenye busara kama mke wake!

Sina uhakika kama haya ni kweli maana sijawahi kuwafuatilia kujua kulikoni.


Nishaurini hapa
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huna namna yoyote ya kuthibitisha hii kauli ya "Mke wa jirani" kama ina ukweli wowote. Hivyo ni bora kucheza mbali na ndoa ya watu badala ya kutaka kuingiza maneno ambayo yanaweza kabisa kusambaratisha ndoa ya jamaa yako na mkewe. Ni ushauri tu Mkuu Rutashubanyuma.

Na ndicho nilichofanya hapo. Shukrani sana BAK
 
It feels good, kama utakaa kwa amani na kujisikia raha kwamba umependwa naturaly,hiyo tu yatosha

Yakishindikana haya ufanyaje?
 
hehehe ,anapewa limbwata? ,h ,ila sometime binaadamu tu sisi na fitna zetu ,pengine mapenz tu na mwadada anajua kupika wao wanahisi anapewa limbwata

tatizo anatamba au anasingiziwa tu na wapambe nuksi?
 
Back
Top Bottom