Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 567
Ana watoto wa tatu mmoja std 3 wapili std1 watatu kindergarten. Anataka watoto zaidi kwani anadai haoni sababu ya kuwa na watoto wachache. Jamaa anasema mwanzoni alidhani ni utani lakini sasa hivi hii topic imekuwa too much. Kaniomba msaada ili ndoa yao iendelee kuwa na amani, kwani ana mpenda sana mke wake. Mimi nilipongea naye kiundani sana, lakini Nimeileta huku ili mnipe mawazo yenu.