Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Kama jamaa hakusomi please let it go wasije kuku geuka ukabaki na aibu japo dhamira yako ni njema,
 
alikuwa mrahisi ndio maana jamaa alimpata, labda hajamaa hawezi kumtafuta mwingine
 
Sasa hivi ndoa zina shida nyingi sana.

Kweli mkuu!Mahusiano ya siku hizi majanga!

Wakati mm nagegeda kwa nguvu mchumba wangu yy muda wote kitandani ananihadithia jinsi show ya Wema Sepetu ilivyo noga!

Huyu hafai kwa ndoa!
 
Ili usiumie sana na huyo unayemuita swahiba wako, vunja huo uswahiba ili uwe mtu huru na kwa kufanya hivyo utaepukana na hizo karaha za hiyo familia. Ni ushauri tu maana maisha yenyewe magumu hii ni kwa wote, then uteseke na maisha ya familia ya mtu mwingine.

cc
wakyagara wakinyora
 
Last edited by a moderator:
Haya sasa waliosema mke ni matunzo na pesa ya kutosha nyumbani waje huku wasome hii.

CC: kwa wakinamama wote humu ndani wakiongozwa na ladyfurahia.
 
Mambo ya Ngoswe muachie Ngoswe
Kama jamaa mlipiga wote wanawake enzi zenu mm ningekushauri na wewe uoe utakapopata watoto wa3 utakinai
Lakini kutoka unaweza kuta wako akawa anatoka na huyohuyo jamaa yako
(Mwenzako anakusanifu anakulia vyako) kwa sababu kwanini anadharau unayomueleza kuna kitu anakijua wewe hukijui
 
Kuna mambo haya

1. Inawezekana mkewe analipiza kisasi kwa sababu alishamfumania na mtu nje

2. Haridhiki na mtu mmoja

3. Ni umalaya ambao aliuficha kabla hajaolewa ila alipoolewa ukafumuka

Hebu Jaribu kumuuliza vizur jamaa kama alishafanya hilo la kwanza

Pia inawezekana jamaa kaachia watu wajipakaze ili ARV zisikose watumiaji.
 
wadau hop mko poa,

naomba nielimishwe jamani kama kuna maisha ya aina hii au ni kiini macho ndo naona.kuna jamaa yangu ambaye ni swahiba wangu tangu kitambo sana ameoa na ana watoto 3.kinachonishangaza ni tabia ya mke wake,yaani amekuwa akigawa uroda hovyo,si kwa watoto anaowazidi umri wala kwa wakubwa.yaani kwa ufupi naweza kusema nanii yake iko mkononi,ukiipiga tu inaanguka unaondoka nayo.kitu kinachoniacha hoi ni huyu swahiba wangu,yaani japokuwa anajua fika kuwa mke wake anafanya uchafu huo yeye kapiga kimya.yaani haongei hata kidogo,yupo kama vile hamna kinachoendelea.

kuna wakati alisafiri nje ya nchi kwa wiki mbili akaniachia familia yake niiangalie,so nikawa naenda kuicheki,kuna siku niko siting room namsubir shemeji yangu huyo atoke tusalimiane mara kinatoka kidume kimoja hivi kimejifunga kanga yake,nikamsalimia kama kawaida kisha shemeji yangu akaja tukasalimiana nikasepa.siku nyingine niko sehem napata soda,shem wangu huyo kanipita tena na kijamaa kimoja hivi,tena bila aibu akanisalimia halafu haooo wakazama kwa chumba.

yaani mwanamke anafanya kama vile sio mke wa mtu eti.jamaa aliporudi nilimueleza ukweli kuhusu wyf wake but mshikaji kabaki kucheka cheka na maisha yakaendelea kama kawaida.kwa sasa hali ni mbaya mno lakini jamaa kama vile kipofu flani hivi.kuna kipindi nilifikia hatua ya kumuuliza kama amepoteza nguvu zake ili nimshauri akaonane na wataalam wamsaidie but jamaa anasema yuko poa.sasa kwanini asimkemee mkewe?hana jibu.

imefikia hatua hata vichalii vinavyojifunza kuduu hapa mtaani vinamzoa kiholela holela tu,yaani hata watoto wake hasa aliye std 7 mwaka huu hana raha kabisa,yaani mtoto mdogo but anafeel aibu kwa anayoyafanya mama yake.nashindwa kujua tatizo liko wapi ili niweze kumsaidia swahiba wangu coz cjui tatizo ni yeye au ni mke?

NINA FEEL VIBAYA NA NINGEPENDA KUONA AIBU HII INAONDOKA KWA RAFIKI YANGU LAKINI CJUI NIANZIE WAPI.


Inaonekana na wewe umeshamla huyo shemaji yako; umepigwa kibuti sasa unaanza kelele mtaani! Eti uliachiwa familia uwe unaenda kuicheki, sasa mbona ulipoona kidume pale sitingi rumu na pale ulipokuwa unapata soda hukuonyesha kama wewe ndie uliyeachiwa dhamana? ilibidi uonyeshe uwepo na umuhimu wako pale. Hii inaonekana ulikula sasa wanakula wengine kinakuuma. Na huyo jamaa yako usimuone mjinga, yuko kimyaa anawajua wezi wake wote, ole wenu.
 
kuna wakati alisafiri nje ya nchi kwa wiki mbili akaniachia familia yake niiangalie,so nikawa naenda kuicheki,kuna siku niko siting room namsubir shemeji yangu huyo atoke tusalimiane mara kinatoka kidume kimoja hivi kimejifunga kanga yake,nikamsalimia kama kawaida kisha shemeji yangu akaja tukasalimiana nikasepa.siku nyingine niko sehem napata soda,shem wangu huyo kanipita tena na kijamaa kimoja hivi,tena bila aibu akanisalimia halafu haooo wakazama kwa chumba.
Labda unamgegeda shemeji yako na umeona ka-wivu kwa nini wewe ulikuwa na ahadi naye and all the sudden unakutana na kajamaa kametoka kula...
 
kwa kifupi mapenzi haya shauliki mwisho wa picha hutapata haibu na hutagombana na rafiki yako mtaona wa baya
 
Inaonekana na wewe umeshamla huyo shemaji yako; umepigwa kibuti sasa unaanza kelele mtaani! Eti uliachiwa familia uwe unaenda kuicheki, sasa mbona ulipoona kidume pale sitingi rumu na pale ulipokuwa unapata soda hukuonyesha kama wewe ndie uliyeachiwa dhamana? ilibidi uonyeshe uwepo na umuhimu wako pale. Hii inaonekana ulikula sasa wanakula wengine kinakuuma. Na huyo jamaa yako usimuone mjinga, yuko kimyaa anawajua wezi wake wote, ole wenu.


sijawahi hata siku moja kufikiria kumgegeda shemeji yangu huyo,kuhusu kuachiwa familia yake ilikuwa kwa maana ya kuiangalia isitindikiwe na kitu,endapo kuna dharura,ugonjwa na kuwajulia kama wanamove on vizur na sio kumchunga shemeji yangu.yeye ni mtu mzima anajua anachofanya ijapokuwa kwangu mimi naona sio sahihi anachokifanya.nadhani ungekuwa unashuhudia mambo anayoyafanya huyo shemeji yangu hata wewe yangekukera tu.hebu imagine uwe unamuona mke wa kaka yako ndo anafanya hivyo ungekuwa unafeel vipi?au kwa vile unaona mtu huyu hakuhusu?
 
Back
Top Bottom