Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Oblangata yangu inanituma kuwa huyo swahiba lazima atakuwa ameumia au ameathirika yeye na wife wake so watu dizaini hiyo wanakuwa hawana cha kupoteza ndio maana mke anaamua kuusambaza kwa makusudi na jamaa haonyeshi kujali. Katika hali ya kawaida mtu hawezi kuwa anafahamu usaliti wa hawara achilia mbali mke halafu akauchuna tu...
 
Labda unamgegeda shemeji yako na umeona ka-wivu kwa nini wewe ulikuwa na ahadi naye and all the sudden unakutana na kajamaa kametoka kula...

sikuona kama ni busara yeye kufanya bila hata chembe ya aibu,na sio kwamba namgegeda.hivi huyu angekuwa ni mke wa kaka yako ungekuwa unanijibu hivi?au unadhani tatizo mpaka litokee kwa ndugu yako tu ndo lionekane la muhimu?
 
Wake wa kuokotze kwenye send-off ndio tatizo lake...

Mkuu usiseme hiyo kauli kabla hayajakukuta inawezekana huyo mke wake alimpata katika mazingira mazuri tu na walifunga ndoa ya kidini msikitini/kanisani. Matatizo ya ndoa hayawakuti watu kundi flani flani, hutokea kwa kila mtu
 
Achana na sie waache wajae hata we ukipenda karibu, wenzio tunajiishia kwa matumaini kitambo. Kalaghabaho.
Sio mimi huenda ndo maneno ya mwenye mali moyoni. Dunia ina mengi na yaliyopo ndani ya kuta nne huwezi kuyajua.
 
hii ngumu kumeza,,,,, inahitaji moyo wa chuma ( japo hata chuma nayo hushika kutu)
 
sijawahi hata siku moja kufikiria kumgegeda shemeji yangu huyo,kuhusu kuachiwa familia yake ilikuwa kwa maana ya kuiangalia isitindikiwe na kitu,endapo kuna dharura,ugonjwa na kuwajulia kama wanamove on vizur na sio kumchunga shemeji yangu.yeye ni mtu mzima anajua anachofanya ijapokuwa kwangu mimi naona sio sahihi anachokifanya.nadhani ungekuwa unashuhudia mambo anayoyafanya huyo shemeji yangu hata wewe yangekukera tu.hebu imagine uwe unamuona mke wa kaka yako ndo anafanya hivyo ungekuwa unafeel vipi?au kwa vile unaona mtu huyu hakuhusu?

Sasa mbona kaka yako haumii??? usije sema karogwa, maana mashemeji hatuchelewi kufikiri hivyo
 
papuchi lake linawasha kila wakati wacha wamtarasue tu ...................!
 
Kama jamaa hana wasiwasi, basi siri wanaijua wenueww maana ndoa zina siri nyingi.ingawa mume na mke wote ni selfish maana ina wa affect watoto, na sio fair kwa hao watoto.maybe atakapokuwa ready atakwambia kinachomsibu.mpaka mke hana wasiwasi kabisa, ipo namna
 
hicho ndo kinachoniumiza kichwa haswaaaaa.inakuwaje huyu bro ha react kwa namna yoyote ile ilhali mambo yanayofanyika sio siri tena?

Kwa hali hiyo tutafikiria mengi. Inawezekana Kakayo kafa kaoza kwa huyo mwanamke na anaogopa kumpoteza hivyo anamuacha afanye apendavyo ili tu kuulinda moyo wake uliokwisha kwa penzi la mamaaa.

Pia inawezekana anamuamini sana mkewe na haamini mnavyomwambia, anaona kama mnamsingizia. Unajua mwanamke ana uwezo wa kumfanya mwanamume amuamini sana kiasi kwamba huyo mwanamume hata asikie nini haelewi, ingawa mwisho kabisa huja kujuta kwa kumuamini mkewe kupita kiasi.

Huyo mwanamke anampa mumewe penzi KAMILI kiasi kwamba mwanamume hahisi kupungukiwa na chochote, hivyo hajali kama kuna vidokozi wa makombo ya penzi lake analoshiba kutoka kwa mkewe.

Ndumba pia zipo, labda zimetumika hapo...... KAZI NI KWAKO shemeji!
 
Mfuatilie swahiba yako inawezekana naye anakula vichwa huko uswazi na hivyo ni lifestyle waliyokubaliana labda baada ya kushindwana tabia ndani chumba chao! Kubwa hapo ni aina gani ya malezi wamekubaliana kuwapa watoto wao! Ingebidi kuwepo na heshima kiasi. Labda kwa kuwa shemeji yako hafichi hii hali nadhani atakuwa mtu sahihi kabisa kuongea naye ikibidi kwa gear ya kumtaka halafu ukishamweka pahali (siyo room) ujaribu kumshauri. Inawezekana amekata tamaa tu
 
Kama anafahamu kinachoendelea halafu hana noma na wewe kula, bora ufaidi wewe best kuliko hao wajamaa wa mtaani, kula huyo shemu mwanangu.Ningekuwa mimi ningemla.
kuna magonjwa jamani, utajuaje kama wana magonjwa hlf wameamua kusambaza.
 
Inasikitisha japo inawezekana yupo kwenye harakati za tufe wengi, namaanisha inawezekana kaathirika na VVU.
Hivyo jamaa yako hamhudumii badala yake kampa uhuru wa kupata huduma popote ili mradi watoto wanalelewa na mama yao.
Ama inawezekana wote wameathirika, ni vigumu sana mtu kukwambia status yake ya kiafya hasa VVU. Kama ni rafiki yako kipenzi anaweza kukuambia siku akiwa tayari na ameridhika na kusambaza kwa watu wengine.
 
Wewe mleta mada ni muuaji tena una sumu kali, kama ulimwona mara mbili unashindwa nini kumwonya shemaji yako huyo? Au na wewe uliomba ukanyimwa? Mfano huyo rafiki yako angeua ungejisikiaje? Fanya yako ya muhimu hizi nyumba zina mengi sana hata yako yameshakushinda.
 
sijawahi hata siku moja kufikiria kumgegeda shemeji yangu huyo,kuhusu kuachiwa familia yake ilikuwa kwa maana ya kuiangalia isitindikiwe na kitu,endapo kuna dharura,ugonjwa na kuwajulia kama wanamove on vizur na sio kumchunga shemeji yangu.yeye ni mtu mzima anajua anachofanya ijapokuwa kwangu mimi naona sio sahihi anachokifanya.nadhani ungekuwa unashuhudia mambo anayoyafanya huyo shemeji yangu hata wewe yangekukera tu.hebu imagine uwe unamuona mke wa kaka yako ndo anafanya hivyo ungekuwa unafeel vipi?au kwa vile unaona mtu huyu hakuhusu?


hata mie mume wangu anatembea nje kwa raha zake, najua na mademu zake huniambia na yeye huniambia na wala simfuatilii wala sina hasira nae hata kidogo, maisha yanaenda fresh tu ndani, hamna maugomvi wala nini.

sasa mimi ni sawa na huyo jamaa kwa sababu hizi.
1. Nimekata tamaa na mume wangu, sina wivu nae tena.
2. ni bora aendelee kujisevia nje maana kwangu hapati kitu kwa hiyo wacha ajipe raha.
3. Nimepata wangu pia kwahiyo ngoma droo.

kwahiyo, shemeji yako hajali kwasababu ya moja ya sababu hizo hapo, hakuna uchawi wala nini.

achana nao, endelea na maisha yako.
 
Back
Top Bottom