Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

hata mie mume wangu anatembea nje kwa raha zake, najua na mademu zake huniambia na yeye huniambia na wala simfuatilii wala sina hasira nae hata kidogo, maisha yanaenda fresh tu ndani, hamna maugomvi wala nini.

Sasa mimi ni sawa na huyo jamaa kwa sababu hizi.
1. Nimekata tamaa na mume wangu, sina wivu nae tena.
2. Ni bora aendelee kujisevia nje maana kwangu hapati kitu kwa hiyo wacha ajipe raha.
3. Nimepata wangu pia kwahiyo ngoma droo.

Kwahiyo, shemeji yako hajali kwasababu ya moja ya sababu hizo hapo, hakuna uchawi wala nini.

Achana nao, endelea na maisha yako.


ndoa ina umuhimu tena hapo?kaaaziii kweli kweli
 
ndoa ina umuhimu tena hapo?kaaaziii kweli kweli

ndoa yangu ni kama msingi wa familia kwa ajili ya watoto wetu tu, hata nyumba tunayojenga mimi nachangia kwa ajili ya wanetu tu na sio mimi ama yeye.

kwa hiyo sitavunja ndoa yangu eti kisa anatumbiza m.b.o.o yake kwenye kila papuchi. ITS HIS BODY, LET HIM ENJOY.

Ila yeye hajajua kwamba mimi siko kwake kabisa maskini, yeye bado anaamini nampenda sana. Kiukweli ananishangaza, yaani anifanyie uchafu live na bado nieendelee kumthamini? ili iweje?

ah, bwana eh ndoa sijui nini hainihusu mie. Sitaki presha na bado kijana.
 
jamani please naomba ukaer na huyo mwanamke uongee aisiii

nafikiria hivyo pia but u knw what?!!!!wanawake sometymz huwa sumu,unaweza kumuita kwa ajili ya ushauri,akakuchukia then kibao kikawa kwako kwamba ulikuwa unamtaka then ukagombana na swahiba wako.huo ndio wasi wasi wangu,akirespond negatively ndo itakuwa balaa.naweza hata kukosana na swahiba wangu
 
ndoa yangu ni kama msingi wa familia kwa ajili ya watoto wetu tu, hata nyumba tunayojenga mimi nachangia kwa ajili ya wanetu tu na sio mimi ama yeye.

Kwa hiyo sitavunja ndoa yangu eti kisa anatumbiza m.b.o.o yake kwenye kila papuchi. Its his body, let him enjoy.

Ila yeye hajajua kwamba mimi siko kwake kabisa maskini, yeye bado anaamini nampenda sana. Kiukweli ananishangaza, yaani anifanyie uchafu live na bado nieendelee kumthamini? Ili iweje?

Ah, bwana eh ndoa sijui nini hainihusu mie. Sitaki presha na bado kijana.


do you think that is the right way to go?
 
its not the right way to go but trust me its better than divorce.

if it's not the right way then inaweza kurekebishwa,kwani mlipofunga ndoa nia yenu ya dhat haikuwa kuishi maisha haya,lazima kuna aina flani ya maisha mlitegemea kuiishi tofauti kabisa na hivi,sasa basi u can return to plan "a"hata mimi binafsi sikubaliani na divorce.nadhan kuna sehemu aidha wewe au yeye aliteleza,nadhan pia unajua ni lini alianza tabia hiyo,maana haiwezi kuwa ghafla tu.hivyo basi mnaweza kurudi pale alipotelezea mwenzako au kama ni wewe ndo uliteleza na mkaanzia kumove hapo.
Mind you,the devil at work,lazima umpinge badala ya kumpa nafasi
 
if it's not the right way then inaweza kurekebishwa,kwani mlipofunga ndoa nia yenu ya dhat haikuwa kuishi maisha haya,lazima kuna aina flani ya maisha mlitegemea kuiishi tofauti kabisa na hivi,sasa basi u can return to plan "a"hata mimi binafsi sikubaliani na divorce.nadhan kuna sehemu aidha wewe au yeye aliteleza,nadhan pia unajua ni lini alianza tabia hiyo,maana haiwezi kuwa ghafla tu.hivyo basi mnaweza kurudi pale alipotelezea mwenzako au kama ni wewe ndo uliteleza na mkaanzia kumove hapo.
Mind you,the devil at work,lazima umpinge badala ya kumpa nafasi

Aisee ur way too nice if not naive my brother.

mimi sitokuja kumpenda tena mume wangu katika maisha yangu yote, na yeye nafahamu hanipendi much as he tries to be nice.

ah, leo sijisikii kupiga story sana.

ila ndo hivyo, imetoka ikirudi pancha
 
aisee ur way too nice if not naive my brother.

Mimi sitokuja kumpenda tena mume wangu katika maisha yangu yote, na yeye nafahamu hanipendi much as he tries to be nice.

Ah, leo sijisikii kupiga story sana.

Ila ndo hivyo, imetoka ikirudi pancha


marriage is a question of life and death,you have to give it a chance......the marriage is you and you are the marriage.doing away with it is just like peeling your own skin....is it possible to peel one's skin?definetely not.ngozi yako hata iwe na mabaka,makovu,upele,ukurutu ect etc huwezi kuichuna hata kidogo.unaweza kuvunja kila kitu lakini sio agano la damu.jikubali kwanza then umkubali mwenzako.
Mungu si mwanadamu hata akitizame alichokiunganisha kinateketea.lazima kuna njia tu ya kutatua hilo,kama simo mbili basi moja.lazima njia ipo,manake hakuna swali lisilokuwa na jibu
 
marriage is a question of life and death,you have to give it a chance......the marriage is you and you are the marriage.doing away with it is just like peeling your own skin....is it possible to peel one's skin?definetely not.ngozi yako hata iwe na mabaka,makovu,upele,ukurutu ect etc huwezi kuichuna hata kidogo.unaweza kuvunja kila kitu lakini sio agano la damu.jikubali kwanza then umkubali mwenzako.
Mungu si mwanadamu hata akitizame alichokiunganisha kinateketea.lazima kuna njia tu ya kutatua hilo,kama simo mbili basi moja.lazima njia ipo,manake hakuna swali lisilokuwa na jibu

umeoa?
 
yap,na nina mtoto mmoja pia

ok then, ukianza kupiga mechi za nje(coz am sure u will soon begin, i u havent so far) hakikisha unakua makini, mkeo usimpe stress na headache, na pia usimtukane mkeo kwa mahawara zako.

pia hakikisha mahawara zako, hawamsumbui mke kabisa.

timiza wajibu wako na uchafu wako hakikisha unauficha, hata kama mkeo akiteleza isiwe becoz of u.

zaidi ya hapo, nakutakia kila la heri katika ndoa yako.

kwaher.
 
ok then, ukianza kupiga mechi za nje(coz am sure u will soon begin, i u havent so far) hakikisha unakua makini, mkeo usimpe stress na headache, na pia usimtukane mkeo kwa mahawara zako.

Pia hakikisha mahawara zako, hawamsumbui mke kabisa.

Timiza wajibu wako na uchafu wako hakikisha unauficha, hata kama mkeo akiteleza isiwe becoz of u.

Zaidi ya hapo, nakutakia kila la heri katika ndoa yako.

Kwaher.

huwa sizifikirii kabisa hizo mechi.naona kumbe unajua chanzo cha tatizo.naamini unaweza kulifanyia kazi
 
mkuu kwanza pole sana kwa kushuhudia hayo
USHAUR
Me nadhani Papuchi ya shemej yako ni CLASS C, so na dushelele ya jamaa yako ni lesen ya bajaj
Kama nilivyosoma comment yako moja hapo juu ulisema kuna wakat kiwa vijana wewe na jamaa yako mlikua na tabia ya kupasiana mipira iliyokufa..
sasa nakushaur mtafute jamaa yako then wote kwa pamoja mpige KOLABO kama enzi zile ili muende na kasi ya MCHEZO.
THE INCOGNITO...
Hii inaitwa "THE END"
 
ok then, ukianza kupiga mechi za nje(coz am sure u will soon begin, i u havent so far) hakikisha unakua makini, mkeo usimpe stress na headache, na pia usimtukane mkeo kwa mahawara zako.

pia hakikisha mahawara zako, hawamsumbui mke kabisa.

timiza wajibu wako na uchafu wako hakikisha unauficha, hata kama mkeo akiteleza isiwe becoz of u.

zaidi ya hapo, nakutakia kila la heri katika ndoa yako.

kwaher.


Wachaaaaa.... We utakuwa fundi haswaaa.... I like this reply, mia
 
Back
Top Bottom