Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Weka no na si tuka njunje mkuu!!wengine hatuna muda wa kutongoza
 
Duh! Kwa kweli wanadamu tunampa Mungu kazi...
Kutakua na siri nzito ambayo hata yy anashindwa kukwambia, amini hayo yote yana sababu, itafute, ongea na huyo mama pia.
Usichoke kumsaidia
 
Nakubaliana nawe 100% , hapa mtaani kwetu wapo wanandoa waathirika, huwa mke ikifika jioni anamuaga mumewe anatoka anaelekea ofisini kusaka wa chap chap pale Chilakale

Umeona ee??
 
Mimi kwa uchache naangalia kwa mambo matatu,
1.Jogoo anaweza kuwa hafanyi kazi kutoka na maradhi yameyojitokeza ukubwani
2.Jamaa na mke wake wanaweza kuwa wameukwaa na jamaa amekubali mkewe azidi kusambaza ili awakoshe wakware wote
3.Jamaa pengine alishamnyima dudu long time kutokana na tabia yake lkn hataki kutenganisha familia ili watoto wasihangahike
 
Kama hamshei lov na mkeo kwa mda mrefu bora kuachana coz lazma kat yenu kuna mtu atakuwa anachit. Huyo jamaa labda kalambishwa shuntama au nae anagawa ovyo.
 
Huyu shemejiyo ndo tabia yake. Kama mumewe hana nguvu ndo atoke ovyo ovyo. Angekuwa hata na mmoja.
 
Huyo mwanamke amepitiliza kwakweli.. na kuhusu huyo jamaa yako kuna uwezekano mkubwa hasimamishi au ni wale wa side B ndiyo maana hachukui hatua wala kushtuka (kumradhi kama utahisi vibaya kwa haya maoni).
 
dah! Aiseee! kuna watu mmepinda hadi brain?
Sasa bora kipi?, aliwe na majamaa ya mtaani au ule wewe rafiki wa karibu, inwezekana shemeji hapati mti wa kutosha, saidia, mpe mti wa uhakika.
 
haribu kuzungumza nae akuelezee vizuri jenga mazingira ya kirafiki zaidi na mbembeleze akuambie behind the scene umtoe aibu
 
Mkuu hii huwatokea wanaume kadhaa unachopaswa kujua tu ni kua kuna watu wengine wako hivyo na ni ngumu kujua tatizo nini. Nimeshuhudia familia 2 ziko hivi hivi .
 
Kama anafahamu kinachoendelea halafu hana noma na wewe kula, bora ufaidi wewe best kuliko hao wajamaa wa mtaani, kula huyo shemu mwanangu.Ningekuwa mimi ningemla.

mkuu huu tuuite ushauri wa kupunguza au kuongeza tatizo?
 
mkuu huu tuuite ushauri wa kupunguza au kuongeza tatizo?
Kupunguza tatizo, siamini kama anafuata pesa kwani inavyoonyesha jamaa sio kapuku kihivyo, anafuata mshedede wa ukweli.
Huyu jamaa akimpa mti wa kutosha shemeji yake atapunguza pupa za wanaume.
 
Sasa ndugu yangu kama mhusika anajua kinachoendelea lakini yupo kimya iweje wewe uumie?
Let it go, umefanya kazi kama rafiki wa familia ya rafiki yako, umemueleza ukweli wa mambo sasa ni jukumu lake kusuka au kunyoa, vinginevyo kinachofuata kama hautakuwa makini ni kugeukwa na shemejio na kama haijakaa vema hata rafiki yako atalishwa sumu naye atakugeuka wote watakushambulia stay away my friend and LET IT GO😛arty:
 
Back
Top Bottom