Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

Hao watakuwa wameshaumia..wana Ngoma. Wote wanajua kwa iyo huyo jamaa akisikia mtu kala mke wake anacheka tu maana atakua kaambukizwa tayari
 
Story zingine mnawatia hofu walioowa na kuwahi kusafiri nje wiki mbili!
 
Inawezekana atakuwa ameumia, anaeneza huyo, na mume anajua!
 
Kwanza nakushauri nawe omba mchezo kwa huyo shemeji uambulie, pili mambo ya ndoa yana siri nyingi usidhani kila mtu ana ujasili wa kuacha mwenza kirahisirahisi hivyo. Inawezekana jamaa jogoo hawiki lakini demu yupo kumlindia heshima kwa makubariano kuwa awe huru kupigwa nje kila akijisikia, au jamaa naye ni mpigaji nje zaidi ya huyo mkewe na wamehajuana hivyo anajionea sawa tu au wameshatengana vyumba ila wapo nyumba moja kwa manufaa ya watoto wao na kuogopa kugawana mali kwa njia ya kuziuza, hata kama ni rafiki yako hawezi kukufungulia ukweli wote we waache wafu wazikane tu, chondechonde usipuuze ushauri wangu piga mzigo na wewe.
 
Jamaa yako akueleze ukweli juu ya cock wake atakuwa na shida!!!!

Mstiri jamaa yako badala ya kumuachia aibu hiyo..

hata kama cock no tatizo si basi angetoka na mmoja rationality ya kutoka na hadi watoto wadogo inatoka wapi? ajaribu kumpiga chini atatulia. wanawake wengine huwa wanachezea ndoa za kikristo hasa wakiwa wana uhakika jamaa hawezi kuchezea ndoa. ila ikitokea ikawa reality kuwa anaivunja mbona atajirekebisha
 
hata kama cock no tatizo si basi angetoka na mmoja rationality ya kutoka na hadi watoto wadogo inatoka wapi? ajaribu kumpiga chini atatulia. wanawake wengine huwa wanachezea ndoa za kikristo hasa wakiwa wana uhakika jamaa hawezi kuchezea ndoa. ila ikitokea ikawa reality kuwa anaivunja mbona atajirekebisha



Second line nikasema amstiri!!!!
 
1.Kipaji toka moyon
2.Mme anatatizo...cock/kuna janga alifanya
3.??

Ni kaz sana kumjua anaekufaa For LYF TYM
 
Kama anafahamu kinachoendelea halafu hana noma na wewe kula, bora ufaidi wewe best kuliko hao wajamaa wa mtaani, kula huyo shemu mwanangu.Ningekuwa mimi ningemla.

dah! Aiseee! kuna watu mmepinda hadi brain?
 
Huenda wenzio tiyar wako kwenye dozi, make hawa wivu hupungua hadi -1. Fanya utafiti kwanza kuhusu hii kitu.
 
Mi nahisi unatwanga maji kwenye kinu tu! Kama ulimwambia akadharau what do you expect?unadhani ushauri utaopatiwa hapa utamsaidia? La hasha! CHANGES BEGINS FROM YOU! Unadhani atakusikiliza? Pengine kalishwa limbwata huyo labda umpeleke kwenye maombi na kwa wanasaikojia! Atakuwa na spiritual + psychological problem! La sivyo utaonekana mchonganishi wa ndoa ya watu!Okey?
 
makubwa maana hapo unashindwa elewa tatizo ni kp
 
Kama kweli jamaa ni swahiba wako, waite wote wakalishe chini then utoe tamko kali la kulaani tabia inayoendelea kati yao..hence puzzle solved
 
Huenda wenzio tiyar wako kwenye dozi, make hawa wivu hupungua hadi -1. Fanya utafiti kwanza kuhusu hii kitu.

Nakubaliana nawe 100% , hapa mtaani kwetu wapo wanandoa waathirika, huwa mke ikifika jioni anamuaga mumewe anatoka anaelekea ofisini kusaka wa chap chap pale Chilakale
 
Back
Top Bottom