mkuu nasubiria picha.
mimi ningemtoa dada nimpake mwenyewe wala isiwe tabuuuu
Hivi mkuu, wew siunapaka rangi kucha zako? huwa unapakwa na mdada au mkaka? na shemeji huwa anakusindikiza?
Jamani tuangalie huu usawa, Ukipita pale mwenge karibu na kituo cha polisi utakuta wadada wengi wanaoshwa miguu na wakaka, yani miguu juu juu afu wamevaa visketi vya joto(vifupii). Hukuti mkaka hata mmoja amemsindikiza mwenza wake hii ni kuaminiana na kupeana nafasi, Au ndio kusema nyinyi ndio mnajua kupenda? Samahani miss Chagga na pole kwa kuumwa weekend.
Akubali nani kunyolewa nyumbani? Wivu usio na msingi, kudhalilishna tu.
na alimpiga marufuku asiende tena saluni. sijui atakuwa anamnyolea nyumbani yeye mwenyewe. wivu mwingine kama huu unakera sana.
Mnona sisi mme hatuwasindikizi kwenye saluni ambazo mnawekwa dawa na kusukwa na wakongo,kosha miguu na kusuguliwa kucha,Kwani anaeyekufanyia hivyo si mwanaume nae si atakuwa anapata kishawishi,iweje niende saluni bi dada wa saluni anioshe iwe tabu?ni kweli ila mwanaume ni rahisi sana kupata hamu ya kudochana kuliko mwanamke ndo maana tunaogopa
Ila sijui wanaume wataponea wapi hawa madada wanabidii ya kila njia kumfanya mwanaume akubali wanachotaka ipo saloon jirani pale sansiro jamaa akienda kuoshwa kule ndani anafunguliwa mpaka zipu akionyesha kutobisha bidada anaanza kula koni na vingine vinafatia hivi hiyo ndio castomer care???
Me nakumbuka nilishawahi kumkazia laazizi wangu saloon, Nimemsindikiza, Eti kamaliza kunyolewa mdada kaja anataka amuoshe, nikamtumia message kuwa akiosha tu, tukirudi home atakiona cha moto.
Akajifanya hanielewi, nilimkata jicho hilo hadi aliinuka, na hakuosha tukaondoka.
Tulivyorudi home nikamuosha mwenyewe, tena nikampa na onyo siku nikimkuta anaosha saloon aandae na pesa ya kulipa vifaa vya watu, Patawaka!
pamoja na kuwa hawa wadada ni wawindaji,
ila mwanaume lazima abebe lawama hapo, mtu umekatwa nywele kwa nini akufungue zipu?
itafika kipindi tutawarudisha hawa wanaume kunyoa nywele chini ya mwembe...........
na sasa hivi dawa saluni kwenda nae, akinyolewa unasimamia
kwenye kuosha unasimamie, sasa ole wake mdada apitishe vidole sikioni atachezea vitasa tu...na ole wake mwanaume ajitegeshe kihasara hasara :eyebrows::rip:
(na janaume bazazi litaenda kunyoa kimya kimya, ukiona hivyo ujue mume huna...)
Mm naijua saluun 1 ina wadada kz yao ni kumassage migegedo na kuinyonya, kila mgegedo m1 ni buku 10!
Wanawake hunyolewa na kuoshwa na wanaumehivi wakienda kunyoa lazima waoshe nywele! kiukweli inakera sana wadada hawa wanafanya makusudi sana huko salon kwa wanaume, hivi na mwanamke akienda kunyoa huko anafanyiwa hivyo au ni kwa wanaume tuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!