Mke amkumbatia shemeji mbele ya mumewe

Mke amkumbatia shemeji mbele ya mumewe

Yani jamani Leo nimeona kitu cha kunishtua kidogo! Mtu na shemeji yake mke wa kaka yake wanasalimiana kwa kukumbatiana.

Ajabu iliyoje, tena mbele ya mumewe, hivi huyu mwanamke ana akili kweli? Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?
Huenda wenyewe wanajua kinachoendelea,huenda kaka mtu kaoa lakini injini haiendeshi GARI,Mdogo MTU ndio Dereva huwezi jua.Vijana Wa mjini wengi hamjui,lakini tuliokulia swekeni tunajua,kaka au mdogo mtu anaweza kuozeshwa MKE lakini mzalishaji ni mmoja kati yao,na mambo yanaeda na ni siri ya familia.Msitake kudodosa kwenye nyumba za watu myaonayo waachieni wenyewe wanandugu
 
Yani jamani Leo nimeona kitu cha kunishtua kidogo! Mtu na shemeji yake mke wa kaka yake wanasalimiana kwa kukumbatiana.

Ajabu iliyoje, tena mbele ya mumewe, hivi huyu mwanamke ana akili kweli? Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?

Mkuu hawajambo hapo Meatu?
 
Huenda wenyewe wanajua kinachoendelea,huenda kaka mtu kaoa lakini injini haiendeshi GARI,Mdogo MTU ndio Dereva huwezi jua.Vijana Wa mjini wengi hamjui,lakini tuliokulia swekeni tunajua,kaka au mdogo mtu anaweza kuozeshwa MKE lakini mzalishaji ni mmoja kati yao,na mambo yanaeda na ni siri ya familia.Msitake kudodosa kwenye nyumba za watu myaonayo waachieni wenyewe wanandugu

Swadakta. Moja kwa moja umeleenga mawazo yangu.
Mkuu hata mm nilivyo ona yawezekana kabisa mambo haya wanayo.
But haija nifurahisha kufanya vile mbele yangu mim mgeni
 
Yani jamani Leo nimeona kitu cha kunishtua kidogo! Mtu na shemeji yake mke wa kaka yake wanasalimiana kwa kukumbatiana.

Ajabu iliyoje, tena mbele ya mumewe, hivi huyu mwanamke ana akili kweli? Ku kumbatia shemeji yake mbele ya ndugu yake?

Umeanza lini kuja mjini?

Hata baba mkwe kukimbatia sio mbaya inategemea na mazoea na utaratibu wenu.
 
Shemeji ni mrithi wa mke wa kaka iwapo kaka atatangulia mapema. So sio mbaya kuanza kufaidi mdogo mdogo...
 
Umeanza lini kuja mjini?

Hata baba mkwe kukimbatia sio mbaya inategemea na mazoea na utaratibu wenu.
Si siku nyingi.
But huh uzungu haifai bhna.
Utakuta ndoa nyingi zina vunjika kwa sababu hii
 
Back
Top Bottom